Kama kuna dhehebu la kishenzi ni wakatoliki. Mapri wazinzi hakuna mfano. Wamezaa kila kona. Lakini nenda una shida ya kiroho utajuta. Asosali hazikwi na watoto hawabatizwi na wanaooana hawafungishwi ndoa. Wewe ni nani wa kumhukumu binadamu mwenzio il hali una mapungufu zaidi ya alokujia. Una...
Mikocheni karibu na Club 327, barabara ya rose garden kuna bomba lina karibu mwezi sasa linamwaga maji. ni bomba kubwa la Dawasco. tumesharipoti mpaka tumechoka. tunawaachia wenyewe siku mkipita mlione maana na nyie mmezidi. kujituma ni janga la kitaifa
Ana miaka 38 huyu mama, sidhani kama ana mtoto ambae keshajitegemea. Shida Majuto alioa wanawake wengi, anawaacha, huyu ndio wa mwisho aliolewa akiwa mdogo sana. pia kutakua na tatizo, kwanini afukuzwe?
Wapendwa, mwenye sample ya mkataba wa makubaliano , please naomba. uhusiane na udalali wa nyumba ya kitu. mkataba uwe unatoka kwa dalali wa nyumba/kitu kwenda mwa muuzaji/mnunuaji. hali imekua mbaya sana watu hawalipi. kukosa maandishi pia imekua changamoto. inabidi tuwe na mikataba ya maandishi...
Kazaa nae watoto wawili wakati akijua dini tofauri. Nampenda Zama lakini kuna jambo kubwa litamtomtokea huyu dada kwa hiki alichofanya. ni bora angekaa akalea watoto wake wawili angalau wakue kwanza. sema kifo unakifuata mwenyewe hata ukatazwe vipi. Huyu dada alinyanyasa sana wenzie Clouds...
amtafutie wapi huyo mtu mzima maana wote wameshtuka na hali ilivyo wamerudi kwa wake zao. Hawa wasanii wamechezea sana ujana wao ndio maana sasa hivi wanaokotwa na kila anayewajaribu.
Asante FaizaFoxy unamjua Nicola vizuri. Nilifanya nae kazi zaidi ya miaka 10, na niliacha muda lakini nikienda Slipway najificha asinione maana hakubali nilipie chochote. Alikua na moyo wa upendo. Apumzike kwa Amani baba wa watu.
Nimependa comments zako. Kumsema mtu vibaya akishaondoka si jambo jema. Nimjuavyo mimi alikua mtu mwema sana. Sijawahi kufanya kazi na mtu mwenye moyo wa ubinadamu kama Nicola, hasa mtu mweupe. Alikua na makelele zamani wakati anatafuta, lakini ukimzoea unaishi nae vizuri sana. Alijali sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.