Wakuu salam,
Nisiwapotezee muda.
Kwa muda mfupi niliokuwa Tunduru hasa maeneo ya mpakani na nchi ya Msumbiji nimejifunza mengi ambayo naona kama chanzo cha jamii za maeneo haya kuwa chini kimaendeleo.
Kwanza niweke wazi kuwa jamii za mpakani tunduru zina mwamko mdogo sana wa kielimu, watu...
Asili imeweka watchman kwa kila mmoja wetu mkuu.
Bahati mbaya ubinafsi umetutenga mbali sana na watu Mungu aliowaweka kujua kinachoendelea kwenye maisha yetu kwa kila namna.
Somo zuri mkuu. Barikiwa sana
Watasemaje ukweli wakati kwa asili wanapenda watu wanaowaunga mkono kwenye maigizo yao?
Hawana tofauti na ali kamwe kusema kombe la muungano ni kubwa kuliko Caf.
Wakuu salam,
Kama title inavyojieleza naomba mnisaidie kujua gharama za mita za wapangaji, niepuke migogoro ikiwezekana na mahali zinapopatikana.
Asante
asante mkuu, nina degree ya Ualimu masomo ya History na Kiswahili, nina experience ya Mwaka mmoja na miezi miwili kwenye fani ya ualimu. Baada ya kufanya kazi za kujitolea kwenye shule za sekondari niliamua kuacha maana ningekufa njaa. Kwa sasa ninaishi dar es salaam.
asante kwa ushauri mkuu umenifungua macho. shida ni kwamba kwa saivi sina source yoyote ya kupata mtaji wa kuanzia natumia laptop ya rafiki yangu kuingia mtandaoni sina smartphone, ndio sababu natafuta kazi nipate nguvu ya kuanzia.
habari zenu wana JF,
nimekuja tena kuomba msaada wa kibarua hali imekuwa ngumu, baada ya kuzunguka kutafuta ajira rasmi ya kufundisha kwenye shule bila mafanikio niligeukia kwenye kazi za vibarua kwenye ujenzi angalau niweze kulipa kodi na chakula hapa mjini Dar es Salaam.
Wiki iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.