Recent content by cyprianfredy

  1. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anunua ambulance mpya 700 tofauti na ambulance 540 za tangu uhuru

    Mtoa mada anaongea kana kwamba sio chama hiko ccm ndio kimeongoza miaka yote kulinganisha maendeleo ilhali uongoz ni huo huo ni upuuzi..
  2. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anunua ambulance mpya 700 tofauti na ambulance 540 za tangu uhuru

    Kabla ya Samia nchi ilikuwa inaongozwa na upinzani ambao wametuchelewesha mpaka CCM ilivyoingia madarakani. Hongereni sanamama ameupiga mwingi
  3. C

    JamiiForums Tanzania UDOM ni chuo chenye kozi nyingi za ajabu ajabu na kimetumika kuwaharibia vijana wengi future zao, sasa wameanza kujishtukia!

    Siwezi kataa inaweza kuwa..ila course work kamaliza on time issue iko kwenye research na supervisors atleast ukipata feedback kwamba kazi yake haina merits do it differently ila imagine delayed feedback or no feedback at all utamalizaje?.. Na yuko commited kumaliza ila anakwama hapo
  4. C

    JamiiForums Tanzania UDOM ni chuo chenye kozi nyingi za ajabu ajabu na kimetumika kuwaharibia vijana wengi future zao, sasa wameanza kujishtukia!

    Tupo kwenye taasisi ya utafiti ambayo kupanda vyeo masters na PhD inaitajika wakati fulani kutoka cheo kimoja kwenda kingine.. Nilitaka kuonesha ni jinsi gan chuo kisipokuwa na uongozi mzuri na checks and balance kinavyoweza kumrudisha nyuma mtu kwenye jambo alilopanga kulikamilisha kwa wakati...
  5. C

    JamiiForums Tanzania UDOM ni chuo chenye kozi nyingi za ajabu ajabu na kimetumika kuwaharibia vijana wengi future zao, sasa wameanza kujishtukia!

    Kwakweli chuo hiki kina changamoto nyingi mfano mdogo tu masters zinazotolewa mfano ya sociology hakuna checks and balance ambazo zingewaweseha wanafunzi kumaliza kwa wakati hali inayopelekea wanafunzi wa miaka 2 kusoma hadi miaka 6 bila kuwepo na sababu za msingi.. mfano kuna mtumishi mwenzangu...
  6. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?

    Kwa hiyo haya yote yamefanyika kwenye awamu mbili tofauti serikali inayoongozwa na Sisiemu na hakuna uwezekano wa kukoma? Na haipaswi kukemewa...
  7. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu

    We unae mtoto?
  8. C

    JamiiForums Tanzania Gilead Teri: Uwekezaji Kwenye Sekta ya Uzalishaji Umeongezeka Kwa asilimia 542% miaka 4 ya Rais Samia kutoka 1.6T (2020) Hadi 10.6T (2024)

    Na deni la Taifa limeongezeka kutoka Tilioni 50 mpaka Tilioni 107.7 kwa kipindi cha miaka mitatu [3] pekee.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aokoa TZS 100bn kila mwezi Bandari ya Dar es Salaam pesa inayoweza kujenga madarasa mapya 5,000 kila mwezi

    Mbona haitumiki kupunguza deni la nchi ambalo linapaa kila uchao... unaleta hesabu za matiki
  10. C

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    The day of the jackal na MobLand
Back
Top Bottom