Huo ni mtazamo wako hot play ni simu za high end low budget phone wewe kama kutoa 3M ndo unaoan high end ni sawa lakini both phone run android q...na ndo kitu kizuri kwenye open operating system, tutanyanyapiana kwenye hardware features.. lakini tunatumia the same operating system
Windows zote ni bora kwa kipindi chake lakini kwa sasa ni windows 10, windows inafanya kazi vizui kama utainstall driver zote za kifaa chako kwa mfano umesema bluetooth haifanyi kazi ilo sio tatizo la windows ni kwasababu ujainstall bluetooth driver za pc yako au driver za pc ya hazisupport hiyo...
Hizi njaa ndo zimetufikisha tulipo sasa na bado hamuoni kama kuna shida, mnashindwa hata kusimamia vitu vya msingi..mleta uzi ndo wa kupigwa vita ndo ugonjwa wa nchi hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie endeleeni kutujaza ujinga na propaganda mkidhani bado tumelala, endeleeni kukimbia ukweli na kuubadilisha, endeleeni kuwaziba watu midomo na kuwapoteza lakini the truth always prevail soon or later
Yaan pesa utaombwa tu, kuliko kuwasema bora uendelee kuwaombea kwa Mungu, maana wako under a spell amabayo they can not see, hata uwafunguaje macho hawawezi ona kwasababu akili zimefungwa hapa ni kama unapigia mbuzi guitar
Amna chuki hapo bro, ndo ukweli kwa sababu mmezidi kusema watanzania wazembe mara tuna roho mbaya na nyie inabidi muambiwe ukweli ili wote tukae sawa, xenophobia itaishia huko huko, Tanzania hatuna tabia hizo za kijinga
Kabisa na akili zako bado unaona ni sawa
huoni kabisa kuna ubaguzi hapo, wakenya mnashida nyingi sana, kwanza bado hamjaacha kubaguana wenyewe kwa wenyewe kwa East africa nyie ndo miongoni mwa watu wenyewe roho mbaya halafu mnapenda kujiona mnachapa kazi lakini amna kitu ni ujinga mwingi ulio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.