Umeshindwa kuelewa kaka.... me nimekwambia kwenye nyimbo na sio kwenye interview... kwenye interview Originality yake uchochezi au kikwazo na haswa km kuna competition na kitu unachokifanya.... ili interview iwe nzuri na muandishi aweze kuuza habari yake lazima kuwe na kubezana na lazima...
Umeongea maneno mengi ila kuna vitu vya muhimu umeviacha.... inawezekana umeviacha kwa makusudi au kwa bahati mbaya..... ukiangalia wazi kabisa jambo ulilongea sina uhakika ni muhimu kwamba team zife ila kimantiki haiwezekani.... kwa sababu ili yawepo maendeleo ya kitu flani lazima kiwepo kitu...
Hapa subiri nieke sawa kidogo tuelewane..... ukiambiwa. Kitu kinatumia 4G.... mana yake ni kwamba kina uwezo wa kutumia 3G pia kina uwezo wa kutumia 2G... ni km speed ya gari ukiambiwa ina speed 140km/h mana yake ina uwezo pia wa kutembea speed ya 80km/h pia ina uwezo wa kutembea speed...
Videorder application ambayo ina uwezo wa kudownload video sehemu yyt....mpk kwenye facebook hata km huja login kupitia video order.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran.... sn ... ila ningeomba kuliza.. kuhusu hizi laptop zinazotoa joto na zile zisizotoa joto... Jee ki afya zina madhara tofauti ukiweka kwenye mapaja au zimezidiana... ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.