Watu wa JamiiForums bhana...kuzungumziana tuu hamjambo. Kama mtu una nia au unajua kuhusu kitu fulani sidhani kama kuandika ili mtu walau apate idea ni ishu kubwa. Tusiojuaga ndo tunakuwaga na maneno kama haya ya kukatisha tamaa. TUBADILIKE
Wale wanangu wa Netflix nakuletea mzigo huu hapa.
Pata Netflix iliyofanyiwa mambo (Cracked) ambayo hutahitajika kulipia ni Bando lako tuu.
Price: Tsh. 5,000/=
Call/Sms: 0689 292 800
WhatsApp: 0712 059 611
Beberu, Windows siku hizi zinakuwa kwenye format ya .iso Sasa yawezekana hiyo copy uliyokuwa nayo haijatimia baadhi ya files tena za muhimu. Fanya kudownload nyingine au tafuta mtu ambaye ako na nyingine isiyo na kasoro akusaidie
Goodluck..!!
Sent from my TECNO KC6 using Tapatalk
Habari za Asubuhi wanaJamii
Ni matumaini yangu mko vyema kabisa. Leo katika pitapita yangu mtandaoni nimekumbana na list ya Postal Codes zote hapa Tanzania.
Kwa wale wasiofahamu Postal Code ni nini, Well hii ni namba ya "Utambulisho wa Mahali" na hutumiwa hasa kwenye masuala ya usafirishaji wa...
Haya ndo maisha halisi ya kitanzania...mwendo wa kula kwa urefu wa kamba na kuvuna ulichopanda. Tulikuwa tunaekti tuu miaka ya nyuma
Sent from my TECNO KC6 using Tapatalk
Fact bro...watu wanataka pesa za mtelezo...mbna hamkutaka pesa wakati wa link za dents za bure..?? Bad enough huyo aliyesema "ni 20,000/= tu" nimemdm huu mwezi wa pili hakuwa online sasa sijui alikuwa anatafuta kiki ama veepy..[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.