Wanajamvi nimeolewa leo mwaka wa kumi,sijawahi kutoka nje ya ndoa yangu na nimekuwa namuheshimu sana mume wangu, nikijua anachepuka na kuniletea watoto wa nje nilee.
Leo ni miaka kumi imetimia lakini habadiliki, ananionea sana na Mungu kanipa urembo lakini nimechoka kuvumilia kitendo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.