Habari zenu,
Nina binamu yangu kafaulu anataka kuomba mkopo bodi ya elimu ya juu lakini kuna mzazi wake mmoja ana ulemavu wa masikio(kiziwi) katika fomu ya mikopo anatakiwa kujaza taarifa za mzazi mwenye ulemavu ambapo ameshauriwa kwenda hospital ili kupata uthibitisho.
Tatizo lipo hapa...
Pole sana.Mshukuru sana Mungu sababu hujajua kakuepusha na nini hapo mbeleni.Ungeweza muoa then yakaja tokea makubwa zaidi.omba sana Mungu akusaidie upate mchumba sahihi kwako
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.