Recent content by Curvyminx

  1. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    sidhani kama unaelewa kazi ya SIDO. Nenda pale kajifunze kozi fupi fupi za ujasiriamali ndio u-display matokeo yako, maana hizo product zimetengenezwa na wajasiriamali waliofundishwa SIDO. Hizo product sio bidhaa za SIDO, same na mashine. TARURA ina mchango mkubwa wewe!
  2. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona wazee wetu waliweza kukaa na familia na watu tofauti tofauti kwenye majumba yao nyinyi vijana wa kisasa mnakwama wapi?

    ni kwasababu, watu wana trauma za kubakwa na uncle, binamu, shangazi, mama mdogo, kuna wengine walisema lakini hakuna lililofanyika zaidi ya wazazi kunyamaza na kuyamaliza hayo mambo kifamilia kwasababu ya aibu. Na yule mtu aliekufanyia kitendo hicho anaendelea kuwepo humo humo, sasa umekuwa...
  3. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    kwanza data zenu zinatisha, sirudii :D
  4. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    sasa si kabadilika kaanza kunipa furaha :) sina sababu tena
  5. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    eti? ameshtukia...
  6. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    nilisha ghairi, hamna sababu tena :rolleyes:
  7. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Kabisa
  8. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Grateful still
  9. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Unakaa kwa utu na utulivu miaka na miaka, siku unasema sasa nimechoka, nichepuke ndio na yeye anabadilika:rolleyes:.
  10. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliodumu miaka 20+ kwenye ndoa zetu tukutane hapa tupeane na kubadilishana uzoefu

    Mwenyewe Nina miaka 10 ivi. Iko very interesting bana, meza yangu imepinduka so imebidi nisimamie kila kitu. Nimeelewa kwanini mnaenda bar kunywa, kumbe sometimes sio kwamba mnapenda ni kupunguza mawazo tu maana kuna wakati nasikia kuchizi. Home enyewe ukirudi hata nguvu ya shoo hamna kabisa...
  11. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

    Jamaa alikuwa mzito kama farasi! Yaani aliniegemea mzima mzima nikabaki nahangaika kifua kizito. It was bad for both anyway na haikurudiwa.
  12. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

    Niliandika hii post nikiwa na machungu sana, nikijua pengine kuna wengi wanapitia ninachopitia. Nafurahi kuwa wengi mmefunguka. Mungu azidi kuwainua na kuwaponya.
  13. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    🤔
  14. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    Na chakula cha usiku kiko pale pale 😂 tena dozi inahitajika x2, inakuwaje sasa?
  15. Curvyminx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    Sasa si mututumie miji mingine jamani, msiwe wachoyo 😂
Back
Top Bottom