Recent content by Curvyminx

  1. Curvyminx

    Tuliodumu miaka 20+ kwenye ndoa zetu tukutane hapa tupeane na kubadilishana uzoefu

    Mwenyewe Nina miaka 10 ivi. Iko very interesting bana, meza yangu imepinduka so imebidi nisimamie kila kitu. Nimeelewa kwanini mnaenda bar kunywa, kumbe sometimes sio kwamba mnapenda ni kupunguza mawazo tu maana kuna wakati nasikia kuchizi. Home enyewe ukirudi hata nguvu ya shoo hamna kabisa...
  2. Curvyminx

    Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

    Jamaa alikuwa mzito kama farasi! Yaani aliniegemea mzima mzima nikabaki nahangaika kifua kizito. It was bad for both anyway na haikurudiwa.
  3. Curvyminx

    Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

    Niliandika hii post nikiwa na machungu sana, nikijua pengine kuna wengi wanapitia ninachopitia. Nafurahi kuwa wengi mmefunguka. Mungu azidi kuwainua na kuwaponya.
  4. Curvyminx

    Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    Na chakula cha usiku kiko pale pale 😂 tena dozi inahitajika x2, inakuwaje sasa?
  5. Curvyminx

    Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    Sasa si mututumie miji mingine jamani, msiwe wachoyo 😂
  6. Curvyminx

    Married Men & women only, mlio na miaka 30+

    Nina swali kwenu. Mnafanya mazoezi gani, au mabadoliko yotote ya chakula pindi mnapo hit miaka 30+. Nauliza hivi kwasababu kuanzia miaka hiyo sex is shorter si kama awali, kidogo tu wazungu hao. Tofauti na wanawake, sex drive iko juu mno, mpaka inatisha. Nini kimekusaidia ku last longer...
  7. Curvyminx

    Mrejesho: Nachimbwa mikwara mizito na mtoto wa mpenzi wangu

    Very mature of you. Nice one big man!
  8. Curvyminx

    Wanawake ‘hit and run’

    It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
  9. Curvyminx

    Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

    Noel, good job lad! Rais amechagua hapa.
  10. Curvyminx

    Wanawake mnaolazimisha mabwana zenu wakate/wabane mirija yao ya kutoa mbegu za kiume (sperms), hamjengi mnaharibu zaidi!!

    i know, sikuamini mwenyewe na wameshibana haswa 😶 wakati mie nawaza bidada kakubaliana kutozaa 😵
  11. Curvyminx

    Introverts Vs Relationship

    dah nimeambiwa sana kuwa ninaringa na kujisikia wakati kiukweli sina cha kuongeza kwenye story za wengine kwasababu pengine nina enjoy kusikia tu wengine wakiongea :(
  12. Curvyminx

    Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    unajua unakuta mtu anaenda kuombewa pale afu anarudi nyumbani anajifungia, haongei na watu, hasocialise, sijui hapo inakuweje aisee maana hata Mungu anashindwa. Ukikonyezwa, ukichekewa, ukiombwa namba unakemea mapepo. keep in touch with friends, socialise na marafiki wa marafiki zako huwezi jua...
  13. Curvyminx

    Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Tulikutana chuo, mpaka Nakuja kumaliza chuo Nina na mtoto...ndoa ikaja miaka mitano baadae. Yaani formula haikufuatwa kabisa Ila Ndio maisha.
  14. Curvyminx

    Wanawake mnaolazimisha mabwana zenu wakate/wabane mirija yao ya kutoa mbegu za kiume (sperms), hamjengi mnaharibu zaidi!!

    Labda kama hutaki jamaa azae ovyo sababu za mirathi. Namjua jamaa walipanga na mkewe wakimaliza kuzaa jamaa ana snip na kweli ikafika siku ikawa hivo. Jamaa ana side chick, wako wote miaka sawa na umri wangu wa kuzaliwa. Bidada amekubali Hali, Hana mtoto na hajawahi kuzaa, wanapendana mpaka...
Back
Top Bottom