Mwenyewe Nina miaka 10 ivi. Iko very interesting bana, meza yangu imepinduka so imebidi nisimamie kila kitu. Nimeelewa kwanini mnaenda bar kunywa, kumbe sometimes sio kwamba mnapenda ni kupunguza mawazo tu maana kuna wakati nasikia kuchizi. Home enyewe ukirudi hata nguvu ya shoo hamna kabisa...
Niliandika hii post nikiwa na machungu sana, nikijua pengine kuna wengi wanapitia ninachopitia. Nafurahi kuwa wengi mmefunguka. Mungu azidi kuwainua na kuwaponya.
Nina swali kwenu. Mnafanya mazoezi gani, au mabadoliko yotote ya chakula pindi mnapo hit miaka 30+. Nauliza hivi kwasababu kuanzia miaka hiyo sex is shorter si kama awali, kidogo tu wazungu hao. Tofauti na wanawake, sex drive iko juu mno, mpaka inatisha. Nini kimekusaidia ku last longer...
It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
dah nimeambiwa sana kuwa ninaringa na kujisikia wakati kiukweli sina cha kuongeza kwenye story za wengine kwasababu pengine nina enjoy kusikia tu wengine wakiongea :(
unajua unakuta mtu anaenda kuombewa pale afu anarudi nyumbani anajifungia, haongei na watu, hasocialise, sijui hapo inakuweje aisee maana hata Mungu anashindwa. Ukikonyezwa, ukichekewa, ukiombwa namba unakemea mapepo. keep in touch with friends, socialise na marafiki wa marafiki zako huwezi jua...
Labda kama hutaki jamaa azae ovyo sababu za mirathi. Namjua jamaa walipanga na mkewe wakimaliza kuzaa jamaa ana snip na kweli ikafika siku ikawa hivo. Jamaa ana side chick, wako wote miaka sawa na umri wangu wa kuzaliwa. Bidada amekubali Hali, Hana mtoto na hajawahi kuzaa, wanapendana mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.