Recent content by Curvyminx

  1. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa kuchepuka na vijana wadogo?

    Sababu ni nyingi mno 😂. Ila vijana wa siku hizi wana viherehere 😂 wanatongoza wenyewe sasa ukiongezea shida zako unazopambana nazo kukicha, unajikuta tu, ila ni bahati mbaya 🙃
  2. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

    Kwanza, jamaa alikuwa anataka kuchat kila saa mwanzoni niliona cute ila baadae Ikawa kero, kazi nafanya saa ngapi? Anyway, kumbe alikuwa anataka kujua kila ninachofanya, na taarifa nimpe 🤔. Very odd behavior ila nikasema embu tuone. Siku nilibanwa kazini nilikuwa majukumu balaa, unakimbizana na...
  3. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    1. Shida yenu mnapenda sana kujitoa fahamu. Tafuta clip mzima uisikilize, amesema kabisa kwa wanandoa wenye maelewano huu sio ujumbe wao. 2. Kama hii imekutouch, ujue inakuhusu! Dunia imebadilika, wanaume wa aina hiyo wapo!
  4. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    sidhani kama unaelewa kazi ya SIDO. Nenda pale kajifunze kozi fupi fupi za ujasiriamali ndio u-display matokeo yako, maana hizo product zimetengenezwa na wajasiriamali waliofundishwa SIDO. Hizo product sio bidhaa za SIDO, same na mashine. TARURA ina mchango mkubwa wewe!
  5. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Mbona wazee wetu waliweza kukaa na familia na watu tofauti tofauti kwenye majumba yao nyinyi vijana wa kisasa mnakwama wapi?

    ni kwasababu, watu wana trauma za kubakwa na uncle, binamu, shangazi, mama mdogo, kuna wengine walisema lakini hakuna lililofanyika zaidi ya wazazi kunyamaza na kuyamaliza hayo mambo kifamilia kwasababu ya aibu. Na yule mtu aliekufanyia kitendo hicho anaendelea kuwepo humo humo, sasa umekuwa...
  6. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    kwanza data zenu zinatisha, sirudii :D
  7. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    sasa si kabadilika kaanza kunipa furaha :) sina sababu tena
  8. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    eti? ameshtukia...
  9. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    nilisha ghairi, hamna sababu tena :rolleyes:
  10. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Kabisa
  11. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Grateful still
  12. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Siku ukiamua ndio wanabadilika

    Unakaa kwa utu na utulivu miaka na miaka, siku unasema sasa nimechoka, nichepuke ndio na yeye anabadilika:rolleyes:.
  13. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Tuliodumu miaka 20+ kwenye ndoa zetu tukutane hapa tupeane na kubadilishana uzoefu

    Mwenyewe Nina miaka 10 ivi. Iko very interesting bana, meza yangu imepinduka so imebidi nisimamie kila kitu. Nimeelewa kwanini mnaenda bar kunywa, kumbe sometimes sio kwamba mnapenda ni kupunguza mawazo tu maana kuna wakati nasikia kuchizi. Home enyewe ukirudi hata nguvu ya shoo hamna kabisa...
  14. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

    Jamaa alikuwa mzito kama farasi! Yaani aliniegemea mzima mzima nikabaki nahangaika kifua kizito. It was bad for both anyway na haikurudiwa.
  15. Curvyminx

    JamiiForums Tanzania Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

    Niliandika hii post nikiwa na machungu sana, nikijua pengine kuna wengi wanapitia ninachopitia. Nafurahi kuwa wengi mmefunguka. Mungu azidi kuwainua na kuwaponya.
Back
Top Bottom