Mbunge katafuta ardhi, wawekezaji na kabuni mradi bado anaonekana hana maana? Mtoa post hujui issue nzima ilivyo ni bora ukafanya research ndo u comment
Ajira hakuna, pesa imekuwa shida. Sekta binafsi ambao ndio waajiri namba moja zimekufa. Unahitaji muujiza gani kutoka kwa vijana wa sasa?
Ikumbukwe Dar es Salaam haizalishi ziada zaidi ya kutegemea biashara. Ivyo biashara imekuwa ngumu bora tuwe wapole.
Plot inauzwa bei Mil 6 maongezi yapo.
Plot ipo Kivule Magore.
Ukubwa 35 kwa 38 meter
Kina hati ya Serkali za Mitaa na kipo pembeni ya barabara ya mtaa.
Kwa maelezo zaidi piga 0769552117
Wenzenu WCB na Navy Kenzo wana group zaidi ya 20 za kupiga kura, na kila member wa group anapiga kura 20 kwa siku. Nyie team Kiba mnaishia lawama na kuona mnaonewa. Mziki wa sasa siyo wa mazoea tena. MZIKI UNATAKA YAFUATAYO.
1. Promotion.
2. Good management.
3. Creativity.
4. Team work...
Wanajukwaa kiukweli ukiuangalia upinzani wa Tanzania uko katika makundi makuu matatu.
1. Upinzani njaa: Huu upo kwa nia ya kujikomba na kutengeneza platform kwamba upo lakini haupo. Upinzani huu siku zote unapingana na hoja za kimapinduzi na siku zote unakibeba na kukisupport chama tawala.Mifano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.