Bro mi ni msuaso lakini mbona watu wanapata izo first na upper acha uwoga wa maisha kaza acha uyzembe we mwanajesh ukivua maji lazima uyaoge usipende easy come coz itakuwa easy go..................mfumo mzuri na iyo ndo identity ya sua na mzumbe baada ya yule profesa kwenda kule au unataka...
mmmhhhh huyo sio mzima anataka kuamsha hisia za watu walio lala anatupotezea mda kudiscuss hoja yake ambayo haijeng hata kidogo zaid ya kutugombanisha kati ya waislam na wakristo.seeeeeeeee ya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.