Recent content by CRYPT

  1. C

    Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Kama unalima kilimo cha kutegemea mvua ni pata potea. Kama unafanya kilimo cha umwagiliaji au all the best. Utatoboa
  2. C

    Mnaoweka pesa HALOPESA kuweni makini

    Nimetest hapa kucheki salio hata sijaulizwa pin na nimepokea sms ya salio langu. Hii ni hatari sana
  3. C

    Mikopo kwa wafanyabiashara wanaotaka kuagiza magari na kulipia ushuru

    Riba ya 3.5% kwa mwezi sio mchezo. Sawa na 42% kwa mwaka.
  4. C

    Kipimo halali kinachokubalika Tanzania kujipima mwenyewe HIV ni kipi?

    Mkuu, nenda kwenye hospitali/kituo cha afya/zahanati wanaotoa huduma za tiba na matunzo (CTC) watakupatia jipime. Kwa sasa ziko za kutumia sampuli za kinywa (oral based ST) na za kutumia damu (blood based ST) ANGALIZO: Vipimo hivi vitumika kama 'screening tool' hivyo kuhakiki majibu yako lazima...
  5. C

    Nina safari ya Dar kwenda Kigoma. Madereva nipeni uzoefu!

    Kama utawahi kutoka moro unaweza kusogea zaidi ukalala hata manyoni, alfajiri unaaanza kuisaka tabora Safari njema mkuu
  6. C

    Nina safari ya Dar kwenda Kigoma. Madereva nipeni uzoefu!

    Kipande cha vumbi kimebaki km chache sidhani kama zinazidi 10 toka kijiji cha chakulu hadi uvinza. Eneo jingine lililobaki ni mkeka
  7. C

    Nina safari ya Dar kwenda Kigoma. Madereva nipeni uzoefu!

    Kwakua utakua na kazi moro, nenda kalale dodoma, kisha amsha alfajiri (ukiweza saa 10 alfajiri) mwendo wa kawaida 100- 110, unafika kigoma mapema tu
  8. C

    Lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi wakuu?

    Kuna moja niliikuta Njombe, na nyingine niliikuta Kasulu. Masharti ni kama hayo. Ukiwa na mwenzi wako lete uthibitisho wa ndoa yenu
  9. C

    𝗦𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝟲 𝗵𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘀𝗮𝘆𝗮𝗻𝘀𝗶 𝗵𝗮𝘄𝗮𝗷𝘂𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗻𝗶𝗻𝗶 𝘂𝗸𝗶𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗳𝗮

    Tumepigwa kamba mkuu, kichwa cha uzi kinasema '....wanasayansi hawajui kwanini ukitembelea unakufa' na kwenye maelezo anakwambia ukifika ukanda wa kifo kwenye mlima Everest hakuna hewa. Hapa si tunadanganyana kabisa, kichwa cha uzi kinaongea vingine na maelezo ndani ya uzi yanaongea vingine
  10. C

    Tambua Utapeli Mbalimbali Mtandaoni - Sitapeliki

    Tuma ada uje kuleta mrejesho kwenye uzi huu
  11. C

    Wakuu! Vipi ili tangazo la Salimu Kikeke na Zitto Kabwe

    Endelea kukenua, unaambiwa ni utapeli unataka ufafanuzi, nenda kawekeze utatuletea ufafanuzi ukipigwa
  12. C

    Wakuu! Vipi ili tangazo la Salimu Kikeke na Zitto Kabwe

    Endelea kukaza fuvu hilo, hela yako itapigwa asubuhi na mapema
Back
Top Bottom