Mkuu, nenda kwenye hospitali/kituo cha afya/zahanati wanaotoa huduma za tiba na matunzo (CTC) watakupatia jipime. Kwa sasa ziko za kutumia sampuli za kinywa (oral based ST) na za kutumia damu (blood based ST)
ANGALIZO:
Vipimo hivi vitumika kama 'screening tool' hivyo kuhakiki majibu yako lazima...
Tumepigwa kamba mkuu, kichwa cha uzi kinasema '....wanasayansi hawajui kwanini ukitembelea unakufa' na kwenye maelezo anakwambia ukifika ukanda wa kifo kwenye mlima Everest hakuna hewa.
Hapa si tunadanganyana kabisa, kichwa cha uzi kinaongea vingine na maelezo ndani ya uzi yanaongea vingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.