Recent content by CRYPT

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mkataba umeisha tarehe 31 Agosti. Leo tarehe 8 Septemba napigiwa simu na mwajiri kua haongezi tena. Wanasheria tafadhali

    Mtoa mada nenda CMA, kama muajiri hakua na nia ya kuendelea na wewe alitakiwa kukujulisha mwezi mmoja kabla ya mkataba kuisha. Kimya chake kuanzia tarehe 1 hadi hiyo tarehe 8 maana yake aliamua kuendeleza mkataba. Hiyo alichofanya sasa ni kukufukuza kazi kusikofuata sheria. Hakikisha una...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha mbogamboga kisasa

    Ushauri wangu kwako ni huu. Anza na ulichonacho, usisubiri kiwe 'perfect' ndio uanze. Jambo la msingi hakikisha una maji ya uhakika kwenye samba lako
  3. C

    JamiiForums Tanzania Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Kwamba, mkeka bado unapumua
  4. C

    JamiiForums Tanzania Je ni Kweli Fedha Hazitakua na Umuhimu Ifikapo Mwaka 2036

    Kama uzalishaji utaongezeka, bidhaa na huduma zinazozalishwa lazima zinunuliwe na watumiaji ili mnyororo wa uzalishaji ukamilike. Bado pesa itaendelea kutumia (iwe ya kidijidali au hii tuliozoea ya makaratasi)
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu wana jamvi mmenitelekeza baada ya kufilisika🥺

    Dah, kwaiyo lawama zote wanapewa wanajamvi kwamba wamekutelekeza. Vipi uliokua unadown nao pesa za forex wamefanya nini?
  6. C

    JamiiForums Tanzania Vimeokotwa vitambulisho vya Bernadetha Mohamedi Kalembo, Hospitali ya Kibamba

    Itakua alizaliwa mara mbili
  7. C

    JamiiForums Tanzania Vimeokotwa vitambulisho vya Bernadetha Mohamedi Kalembo, Hospitali ya Kibamba

    Mkuu, ungeficha namba ya nida na tarehe ya kuzaliwa
  8. C

    JamiiForums Tanzania Fursa ya Ushirikiano wa Biashara kwa Mdada Mwenye Duka au Biashara Halali

    Nimejaribu kutafuta connection kati ya biashara halali ya pertner unemtafuta na nyumba na eka 5 za mahindi/maharage sijaiona.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Kama unalima kilimo cha kutegemea mvua ni pata potea. Kama unafanya kilimo cha umwagiliaji au all the best. Utatoboa
  10. C

    JamiiForums Tanzania Mnaoweka pesa HALOPESA kuweni makini

    Nimetest hapa kucheki salio hata sijaulizwa pin na nimepokea sms ya salio langu. Hii ni hatari sana
  11. C

    JamiiForums Tanzania Mikopo kwa wafanyabiashara wanaotaka kuagiza magari na kulipia ushuru

    Riba ya 3.5% kwa mwezi sio mchezo. Sawa na 42% kwa mwaka.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kipimo halali kinachokubalika Tanzania kujipima mwenyewe HIV ni kipi?

    Mkuu, nenda kwenye hospitali/kituo cha afya/zahanati wanaotoa huduma za tiba na matunzo (CTC) watakupatia jipime. Kwa sasa ziko za kutumia sampuli za kinywa (oral based ST) na za kutumia damu (blood based ST) ANGALIZO: Vipimo hivi vitumika kama 'screening tool' hivyo kuhakiki majibu yako lazima...
Back
Top Bottom