ndugu usiwaongopee watu .. mie hapo PERGAMON unaosema nipo nao hapa .. hizo machine unazo sema wanauza kwa laki 2 c kweli . zile mashine zilkua zinatolewa bure na TRA kupitia wakala wa PERGAMON . ila wafanyakaz wa PERGAMON wakawa wanapiga deal kwa watu wa nje .. ndio wanakuuzia kwa 250k kwa watu...
wew heradius .. unalalamika waislamu kufunga barabara kwa dakika 10 ya cku 1 ndani ya week .. je hao wanapiga mzika na maspika wanatembea nayo wanakaa usoni kwa dukani kwa watu hapo hapo kariakoo alaf kila cku,, mbna hulalamiki kma wanakutilia makelele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.