Ukistaajabu ya single maza kama yalivyo kwenye uzi wa Record Man
Unaosema: Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu...
Kwa JamiiForums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Tunajua kwa exposure uliyopata kwa kusoma una expect vitu vikubwa huku ukisahau kwamba nidhamu ya fedha ndo kila kitu kwenye maisha ya biashara na ndo maana biashara nyingi zinafilisika
Mimi hainiingii akilini kabisa inawezekana vipi kijana msomi una degree yako safi unaua biashara ya duka ya...
Hapo kazi ipo mzee dates zingeenda kwenye 23 nakuendelea ningesema ni normal but hapo sio normal una tatizo la kutrust watu, kusocialize na watu tafuta what went wrong kwenye ukuaji wako malenzi and so on jibu lipo kwenye past yako
Kuna siku unaota mpaka unashangaa mbona unaota vitu vikubwa namna hii,
1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba
2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo...
Najua nini unapitia, najua hata ukipewa ushauri hautausikiliza maana haukufai.
Niseme tu Sikio la kufa ndo halisikii dawa
Usitake kupita njia ngumu nenda hospitali watakupa dawa uendelee kula maisha kijana
Namwelewa mtoa mada consern yake ni kwamba mionzi ya x-ray haipiti kwenye kanga wakati ni nguo nyepesi?
Binafsi nipo bega kwa bega na mtaalam wa mionzi mpaka hapo alipomwambia avae kanga maana ni nguo nyepesi lakini hilo la kufungua kanga naomba huyo mtaalam aje atuambie kinaga ubaga
Ndugu mwana jamii forum unajisikiaje baada ya kuchoma cefriaxone kila mara unapoumwa UTI gono na magonjwa mengine ambayo ukienda vichochoroni kimbilio lao ni ceftriaxone. leo umekula za siku tano zimedunda unahaha tupe stori kidogo hiyo dawa umeitumia mara ngap na uliitumiaje, pia nataka kujua...
• Vipi mama yao alikuwa anabugia Pombe or aliabuse dawa yoyote ile wakati wa ujauzito?
• Walipozaliwa wali-score ngapi?
• Katika ukuaji wao wamewahi kupata magonjwa yapi na vipi wameshawahi kupata ajali? Kama ipo ilihusisha nini
• Baada ya hapo ndo tuende kwenye kurithi hizo akili na laana za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.