Recent content by Crownjunioral

  1. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira za Ualimu za muda

    Habari ndugu wa JF. Natafuta Mwalimu mwenye combination ya masomo ya lugha (Kiswahili na English). Shule ipo maeneo ya Bukoba, hivo wakazi wa maeneo ya Bukoba na jirani tafadhali wasiliana na uongozi kwa namba +255629327589, School administrator. Asanteni
  2. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Jamaangu una mikwara ya kizamani... Me nlijua hutoi tena ajira, kumbe hutoi update! Haina athari kwenye post
  3. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Competition ni kubwa mno, kwa hesabu ndogo tu, uwiano wa waombaji na wanaohitajika yaweza kuwa hata 1:15... Kila nafasi moja ya ajira inagombaniwa na watu 15... Najaribu kuwaza kwa sauti
  4. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Very impossible... Applicants ni wengi sana, hivo, kuna uwezekano mkubwa sana ukakuta ajira zimetoka, we haupo na hata rfk zako wa krb hawapo.
  5. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Well said... Nliwahi comment juu ya hii issue ya ajira, ni bora kusahau na kuashum kama hakuna kitu kitakachotokea. You were required to apply and you did so. Ko ni bora kuendelea kuhangaika kivingine, ikitokea kwa bahati ukawamo inakuwa huna ulichopoteza.
  6. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Yeah, hata mwakani sawa, wakisema tuombe tena sawa...
  7. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Me nlisikia wa2 flan wakipga story, eti after uchaguzi ndo ajira zitatoka
  8. Crownjunioral

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Haikufika mwezi, ajira waliomba kuanzia tar 22/08 hadi 31/08 na tar 23/09 wakaitwa kazini... Then, huo ni mtazamo wangu, kama una wa kwako tofauti share kama walivoshare wengine Asante
Back
Top Bottom