Hili ndio tatizo la vijana walio wengi wa sasa hapa Tanzania walio na mahaba na watu flani. Mimi naona mleta mada inatakiwa atuambie hivi Raisi anaweza kuzusha tu safari nje ya nchi pasipo na Mwaliko? Naomba akasome na ajue na data kamili ili kudhibitisha hili. Sio umemezeshwa huko ktk majukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.