Hiyo Ivumwe ina mkuu wa shule mhuni sana. Yuko pale anatengeneza fedha na hataki kuguswa. Alikuwa analindwa na Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi aliyepita. Baada ya Ally Hapi kutokuwa na mchezo hasa kwenye makusanyo ya fedha, mkuu wa shule huyo ndo kutengeneza mgomo feki na kuita media.
Wahuni hao ilibidi wachapwe fimbo za makalio. Ni njama za mkuu wa shule kumchafua mwajiri wake Katibu mkuu mpya. Haiwezekani walimu wakagoma. Tunaujua mchezo anaoufanya na atachunguzwa.
Kwa miaka 3 sasa shule za wazazi-CCM zimekuwa zikifanya mitihani ya kitaifa. Zoezi hili limekuwa na ufanisi na limezirudisha shule za CCM kwenye ufaulu mzuri.
Hata hivyo kuondoka kwa Katibu Mkuu, Gilbert Kalima kumekuwa pigo kubwa sana kwa shule za wazazi na CCM. kwa sasa shule zimebakia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.