Recent content by Criss

  1. Criss

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Tahadhari kwa ndugu Faustine Mafwele

    Mbona Mafwele umekuja na mbinu yakizamani sana Bro , yaani unaona hili jukwaa nilakuscaniwa kimama hivyo?
  2. Criss

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli mwanaume anaejielewa lazima awe bahili? Toa maoni yako

    Mwanaume anaejielewa hawezi kuwa bahili , ninazo sababu. 1. Mwanaume anaejielewa huipa afya kipaumbele . Afya na pesa vinahusianaje ? Usipomuhudumia mpenzi wako nirahisi kushindwa kujimudu kiusafi ,nirahisi kurubuniwa na wengine kwasababu ya changamoto zakiuchumi,nirahisi kupoteza hamu ya...
  3. Criss

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Nitaweka wazi majina ya wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA waliopewa pesa kulazimisha Maridhiano na kumshambulia Heche

    Sahihi mkuu ,mwishoni mwa enzi za Mwamba hata Mimi nilishaanza kuona bora ngono kuliko siasa 🤣🤣 Lissu ,Lema Mnyika ,Bony yayi ,Sugu na Heche ndiyo waliyoirudisha Chadema kwenye njia
  4. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Kwa hali inayopitia #CCM kimataifa kunawakati huwa inatamani hata ianzishe operation ya kuwazaba vibao wafuasi wake wanaoitetea mitandaoni. Kwa wasiyojua huko ndani hakutoshi ,watu wanatumwa nakukalipiwa kama vimbwa plus na usultan ule ndiyo dah! Kina Kombo wanatukanwa kama vitoto hadi inatia...
  5. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Tabia ya kupuuza mambo haijawahi kuwa ufumbuzi wa matatizo , nijuavyo hata tarehe 29 hakuna aliyedhani watu wangeliweza kujitokeza kwa wingi ule . Ogopa sana waliyo na sababu ya kuandamana . Mtaani joto ni kubwa ,lolote linaweza kutokea.
  6. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Ogopa sana kupambana na aliye na sababu ya kujipambania , muitikio wa watu nimkubwa sana na ukiwatazama wengi nikama wamepoteza kabisa hofu ya kifo. October 29 wengi walikuwa na sababu zakizalendo zaidi ila hii ,wazee kila mtu anaingia akiwa na sababu ,malengo na shabaha na tukikaa vibaya...
  7. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje. Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba . Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh! Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
  8. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje. Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba . Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh! Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
  9. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko . Nimuumininsana wa kuziishi kanuni . Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza kuliingiza Taifa kwenye machafuko yasiyo na ulazima. Wakuu tusitiane moyo , watanzania wamekata...
  10. Criss

    JamiiForums Tanzania October 29 sio mwisho .Kumbukeni CCM mna majirani mfano historia ya rwanda ijaanza mwaka 1994

    CCM nikama madem flani hivii mbele ya watu fulani . Kuna Bibi mmoja wakizungu aliwahi kunipa njia fupi ya kumalizana na CCM kwa mtindo wa kukata mizizi yake yote tena chini ya masaa 24 hadi wakakimbiana nikajikuta natetemeka moyo kabisa ,nikasema hii mbinu wakiijua Chadema jua game over. Kwa...
  11. Criss

    JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kuwa kwenye Mahusiano na mwanamke masikini nisawa na kuvuta tera lenye mzigo wa tani 30 tena lililopasuka tairi , ukiwa unajiwezaweza kidogo still tan 30 lakini kwenye njia ya vumbi ,sasa usiombe awe masikini na awe hana elimu ,aisee hapo ndiyo utanyooka mazima . Ukweli nikwamba mwanamke...
  12. Criss

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Kunaeneo huwa nawaza hivi huyu dogo ameteleza wapi aisee ? Mbona kajitoa kwenye njia kiboya sana? Haijawahi kupigwa dushe na Mwamba kweli? Dah! Jamaa anauchawa wakishamba hadi kunasaa namuhurumia
  13. Criss

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Urusi kitakacho Mtunuku PhD Samia Suluhu, kina hadhi kama Amazon Collage au SUZA ya Zanzibar

    Ila tu wakweli,kwa upopompo wa huyu tuliyenae hata team yake inateseka kumtetea 🤣
  14. Criss

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere Hufananii na vitabu unavyosema ni ujasusi na uchochoro wa madaraka

    Yule dogo anadalili zote za ushoga ,ninamashaka sana kama #Mbowe hajamtafuna
Back
Top Bottom