Recent content by Criss

  1. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Kwa hali inayopitia #CCM kimataifa kunawakati huwa inatamani hata ianzishe operation ya kuwazaba vibao wafuasi wake wanaoitetea mitandaoni. Kwa wasiyojua huko ndani hakutoshi ,watu wanatumwa nakukalipiwa kama vimbwa plus na usultan ule ndiyo dah! Kina Kombo wanatukanwa kama vitoto hadi inatia...
  2. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Tabia ya kupuuza mambo haijawahi kuwa ufumbuzi wa matatizo , nijuavyo hata tarehe 29 hakuna aliyedhani watu wangeliweza kujitokeza kwa wingi ule . Ogopa sana waliyo na sababu ya kuandamana . Mtaani joto ni kubwa ,lolote linaweza kutokea.
  3. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Ogopa sana kupambana na aliye na sababu ya kujipambania , muitikio wa watu nimkubwa sana na ukiwatazama wengi nikama wamepoteza kabisa hofu ya kifo. October 29 wengi walikuwa na sababu zakizalendo zaidi ila hii ,wazee kila mtu anaingia akiwa na sababu ,malengo na shabaha na tukikaa vibaya...
  4. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje. Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba . Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh! Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
  5. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje. Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba . Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh! Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
  6. Criss

    Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko . Nimuumininsana wa kuziishi kanuni . Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza kuliingiza Taifa kwenye machafuko yasiyo na ulazima. Wakuu tusitiane moyo , watanzania wamekata...
  7. Criss

    October 29 sio mwisho .Kumbukeni CCM mna majirani mfano historia ya rwanda ijaanza mwaka 1994

    CCM nikama madem flani hivii mbele ya watu fulani . Kuna Bibi mmoja wakizungu aliwahi kunipa njia fupi ya kumalizana na CCM kwa mtindo wa kukata mizizi yake yote tena chini ya masaa 24 hadi wakakimbiana nikajikuta natetemeka moyo kabisa ,nikasema hii mbinu wakiijua Chadema jua game over. Kwa...
  8. Criss

    Waepuke wanawake masikini

    Kuwa kwenye Mahusiano na mwanamke masikini nisawa na kuvuta tera lenye mzigo wa tani 30 tena lililopasuka tairi , ukiwa unajiwezaweza kidogo still tan 30 lakini kwenye njia ya vumbi ,sasa usiombe awe masikini na awe hana elimu ,aisee hapo ndiyo utanyooka mazima . Ukweli nikwamba mwanamke...
  9. Criss

    Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Kunaeneo huwa nawaza hivi huyu dogo ameteleza wapi aisee ? Mbona kajitoa kwenye njia kiboya sana? Haijawahi kupigwa dushe na Mwamba kweli? Dah! Jamaa anauchawa wakishamba hadi kunasaa namuhurumia
  10. Criss

    Chuo cha Urusi kitakacho Mtunuku PhD Samia Suluhu, kina hadhi kama Amazon Collage au SUZA ya Zanzibar

    Ila tu wakweli,kwa upopompo wa huyu tuliyenae hata team yake inateseka kumtetea 🤣
  11. Criss

    Yericko Nyerere Hufananii na vitabu unavyosema ni ujasusi na uchochoro wa madaraka

    Yule dogo anadalili zote za ushoga ,ninamashaka sana kama #Mbowe hajamtafuna
  12. Criss

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Haiishi hadi iishe ,anachokifanya Iran nikukamata tu korodani ,na wala harushi ngumi
  13. Criss

    Mahmoud Thabit Kombo Aandaa Futari Maalum kwa Watumishi wa Wizara Kuimarisha Mshikamano wa Ramadhani Jijini Dodoma

    Wanapitia nyakati ngumu sana aisee , yaani uongozi wao umekuwa kama ndoa za mkeka , haina shhamrashamra kabisa ,popote wanapoongea wanaishia kufurahiwa na wake zao tu 🤣🤣
  14. Criss

    Maombi ya Tanzania na Uganda kuondolewa uanachama Jumuiya ya madola yawasilishwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG)

    Aisee kilichotokea October 29 hakijamuacha salama yule Mama , hadi amepoteza nuru aisee ,sijui Shida ni nini coz nowadays ngozi yake imekuwa kama ya zeruzeru guys anyway God for bid,labda anaumwa.
Back
Top Bottom