Kwa hali inayopitia #CCM kimataifa kunawakati huwa inatamani hata ianzishe operation ya kuwazaba vibao wafuasi wake wanaoitetea mitandaoni.
Kwa wasiyojua huko ndani hakutoshi ,watu wanatumwa nakukalipiwa kama vimbwa plus na usultan ule ndiyo dah! Kina Kombo wanatukanwa kama vitoto hadi inatia...
Tabia ya kupuuza mambo haijawahi kuwa ufumbuzi wa matatizo , nijuavyo hata tarehe 29 hakuna aliyedhani watu wangeliweza kujitokeza kwa wingi ule .
Ogopa sana waliyo na sababu ya kuandamana .
Mtaani joto ni kubwa ,lolote linaweza kutokea.
Ogopa sana kupambana na aliye na sababu ya kujipambania , muitikio wa watu nimkubwa sana na ukiwatazama wengi nikama wamepoteza kabisa hofu ya kifo.
October 29 wengi walikuwa na sababu zakizalendo zaidi ila hii ,wazee kila mtu anaingia akiwa na sababu ,malengo na shabaha na tukikaa vibaya...
Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje.
Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba .
Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh!
Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
Najaribu tu kuwaza hivi hizi ghadhabu zilizojaa kwenye vifua vya watanzania siku vikija kupasuka Taifa litakuwaje.
Tuambiane tu ukweli wazee ,Taifa limevimba .
Mtu /watu wanawaulia wapendwa wenu na kisha hajutii mmmh!
Ogopa sana Taifa linalostawisha mbegu ya visasi madhara yake ni makubwa sana .
Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko .
Nimuumininsana wa kuziishi kanuni .
Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza kuliingiza Taifa kwenye machafuko yasiyo na ulazima.
Wakuu tusitiane moyo , watanzania wamekata...
CCM nikama madem flani hivii mbele ya watu fulani .
Kuna Bibi mmoja wakizungu aliwahi kunipa njia fupi ya kumalizana na CCM kwa mtindo wa kukata mizizi yake yote tena chini ya masaa 24 hadi wakakimbiana nikajikuta natetemeka moyo kabisa ,nikasema hii mbinu wakiijua Chadema jua game over.
Kwa...
Kuwa kwenye Mahusiano na mwanamke masikini nisawa na kuvuta tera lenye mzigo wa tani 30 tena lililopasuka tairi , ukiwa unajiwezaweza kidogo still tan 30 lakini kwenye njia ya vumbi ,sasa usiombe awe masikini na awe hana elimu ,aisee hapo ndiyo utanyooka mazima .
Ukweli nikwamba mwanamke...
Kunaeneo huwa nawaza hivi huyu dogo ameteleza wapi aisee ? Mbona kajitoa kwenye njia kiboya sana?
Haijawahi kupigwa dushe na Mwamba kweli? Dah! Jamaa anauchawa wakishamba hadi kunasaa namuhurumia
Wanapitia nyakati ngumu sana aisee , yaani uongozi wao umekuwa kama ndoa za mkeka , haina shhamrashamra kabisa ,popote wanapoongea wanaishia kufurahiwa na wake zao tu 🤣🤣
Aisee kilichotokea October 29 hakijamuacha salama yule Mama , hadi amepoteza nuru aisee ,sijui Shida ni nini coz nowadays ngozi yake imekuwa kama ya zeruzeru guys anyway God for bid,labda anaumwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.