Kila jambo lazima liwe na mwanzilishi mama, naamini hata dini unayoabudu hukuanzisha ww na bado ni muumini, kama una chuki binafsi na chama kale malimau mama
Kwani hiyo ni ishu ya kuzungumza wakat huu? Hili jambo liko mahakamani km ni kweli tutaona.unapata wap muda wa kuleta huu ujinga badala ya kuumiza kichwa namna ya kuboresha uchumi.
Yaani kati ya mambo ya maana yooooooote umeona hili. Hata kabla hawajasema tbc ina nn cha kulinganishwa na mwanga. Ingekuwa itv,star tv au c10 ningekuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.