Recent content by cresam2016

  1. C

    Majina ya waliofaulu usaili wa Sensa 2022

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  2. C

    Majina ya waliofaulu usaili wa Sensa 2022

    NBS wamewakabizi rugu watendaji kata[emoji3][emoji3][emoji3]
  3. C

    Malipo ya sensa

    Yes
  4. C

    Malipo ya sensa

    Semina siku 5???Kweliii, leo kwenye usaili nimeulizwa uko tayari kuhudhuria semina ya siku 21 kuanzia tarehe 29 sasa wewe hizi siku 5 zinatofauti gani na swali nilililoulizwa???
  5. C

    Watumishi kuondolewa ghafla katika Zoezi la Sensa si uungwana

    Hii nimeshuhudia leo walimu na wake zao ambao ni walimu, na mwingine mwalimu na mke wake jobless asee[emoji3][emoji3]
  6. C

    Postgraduate Diploma in Education ni program ambayo Tamisemi hawaihitaji kwenye ajira za ualimu

    Hahahha mkuu zote, program kama sio kipaumbele unaiwekaje kwenye system au ndio kuhadaa watu
  7. C

    Postgraduate Diploma in Education ni program ambayo Tamisemi hawaihitaji kwenye ajira za ualimu

    Habari wadau , nimeshangaa kuona katika program ya PGDE hakuna hata mmoja alifanikiwa kupata kazi. Je, ni kwamba program hii ya postgraduate Diploma in Education (PGDE) hawa Tamisemi hawaihitaji na kwanini sasa wanaendelea kuiweka kwenye mfumo wakati hawana mpango na watu waliosoma program hiyo?
  8. C

    Jiandae kisaikolojia TAMISEMI kumwaga majina ya Walimu na Afya Juni 24, 2022

    Muda wa kujua kama mkeka umechanika au umetiki
  9. C

    David Kafulila ajiunga rasmi na CCM huko Mbweni jijini Dar

    Nadhan alihofia kusema anaenda CCM kabla kabla hajakomferm alihofia pengine wangemgomea
  10. C

    Mbowe amejuaje aina ya silaha iliyotumika kabla ya jeshi la polisi?

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Waziri wa Nishati na Madini kupatikana leo? Mangu kupelekwa Kilimanjaro?

    [emoji1] [emoji1] huyu jamaa anapewa ubalozi nje huko, u-RC ni fursa ya vijana wa lumumba
Back
Top Bottom