Semina siku 5???Kweliii, leo kwenye usaili nimeulizwa uko tayari kuhudhuria semina ya siku 21 kuanzia tarehe 29 sasa wewe hizi siku 5 zinatofauti gani na swali nilililoulizwa???
Habari wadau , nimeshangaa kuona katika program ya PGDE hakuna hata mmoja alifanikiwa kupata kazi.
Je, ni kwamba program hii ya postgraduate Diploma in Education (PGDE) hawa Tamisemi hawaihitaji na kwanini sasa wanaendelea kuiweka kwenye mfumo wakati hawana mpango na watu waliosoma program hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.