Recent content by CREOLE

  1. C

    Nikikaa kwenye biashara ya mtu, siku hiyo lazima wateja wawe wengi. Nini siri ya hii hali?

    Ni kweli but im scared. Why? Any way Lets be cool and forget about it. Usikute ni jini litanitafuna siku isiyo na jina... hahaaaa.
  2. C

    NMB wananitumia SMS za kuweka pesa hali ya kuwa sijaweka

    Line yangu nadhani walipeana watu walipokutana harusini au msibani wakakosea tarakimu au labda nilipewa zilizofufuliwa. .. maana nilibatizwa mama Rwegasira mwaka mzima nina kazi ya kujieleza.
  3. C

    Nikikaa kwenye biashara ya mtu, siku hiyo lazima wateja wawe wengi. Nini siri ya hii hali?

    Tatizo natajirisha wenzangu mimi nabaki kuwa tajiri wa roho... Yaani hata bajaji nikiingia akikomaa kusubiri abiria wengine namwambia twende wasipopatikana nitalipa hiyo buku jero yao. Mita 20 tu anaanza kuwaokata hadi anajaza. This is weird!
  4. C

    Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

    Na vumbi la congo atawaachia wenye kisukari chao...
  5. C

    Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

    Umetokea pande zipi za Tanganyika. Huenda simkosa lako mkuu.
  6. C

    Nikikaa kwenye biashara ya mtu, siku hiyo lazima wateja wawe wengi. Nini siri ya hii hali?

    Miaka ya nyuma kuna mtu alikuwa ananipa lifti kila siku asubuhi ktk teksi yake. Siku ya kwanza niliomba, zinazofuata akawa ananisubiri kabisa na njia hiyo haikuwa na daladala. Sikuelewa sababu. Akaropoka kwa mtu siku moja kuwa "yule dada akiweka kalio tu ktk teksi yangu napata abiria hadi naamua...
  7. C

    Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

    Vipi kuhusu wakaka wanaopaparikia kutoa lifti kwa wadada. Wanadhani wamepata piss kali kumbe majambazi. Wote tuwe makini.
  8. C

    Mzee wangu alishapima DNA kwangu ya kiasili na ile ya kisasa. Pimeni DNA acheni upuuzi

    Yupo aliyelea mtoto si wake na alijua. Baadaye yule kijana ndio ametusua kisawasawa kimaisha kamjengea nyumba kampa na usafiri. Wale wa kwake ni majanga. Maisha haya...
  9. C

    Kajifungua mnyama

    Labda angetuambia huyo kalunguyeyevwake alimtoa wapi na mwisho wa siku kutuletea taharuki isiyo na kichwa wala miguu. Hapa ndipo ulipokosea, conclusion. Ungeeleza tu ya daktari na msimamo wako juu ya hili suala. Mengine waachie.
  10. C

    Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

    Asante. Kuna aliye RIP akiwa na nyumba sehemu hakuna aliyejua. Wapangaji wakaishi bure miaka 7. ndugu yake mmoja siku hiyo akaona achambue makaratasi ya marehemu meeengi ili atupe yasiyo na maana ndio anaona tarifa ya hiyo nyumba akafuatilia. Kumbuka zamani hakuna simu za mkononi mtu anafuata...
Back
Top Bottom