Nimetumia muda wangu mwingi kufuatilia maswala ya IPTL na Richmond/Symbion. Kutoka kwa jamaa wa usalama wa taifa ambae anafanya kazi ikulu amenipa ukweli kuhusu mmiliki wa IPTL, Dowans, Richmond/Symbion. Ukweli ni kwamba IPTL na Richmond ambayo kwa sasa ni Symbion zinamilikiwa na viongozi wa...
me nafanya art pia
sijabahatika kupata hata kaofis au sehem tambuliki ya kufanya vitu vyangu
nishasaga mguu sehem mbalimbali nikitafuta msaada but tz yetu tiligivyogo.
taratibuu tunapata vitenda kidogo kidogo kutoka sehem mbal mbali
big up kwa wanang wa umu ndan mnaonipa sapot majumban kwenu
duuuh umeongea mengi hila tecnology ya mwaka 2006 siyo inayotumika hapa leo 2014
amin nakwambia mliman city naijua vizur na hapa ndan napafaham vizur
naona unaongeeeeaaa lakin ujajua unazungumza nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.