Wenye imani haba kila kukicha wanabuni kujiami.....TUACHENI TUSHIKANE MIMI SIKUZOEA JAFO HILA NI LAKO.........KUNA MAMA MMOJA HAPA KAZINI petu ALIKUWA ANAKUSALIMIA KWA KUTUMIA KITAMBAA MLANGO ANAFUNGUA KWA KITAMBAA UKIINGIA OFISINI KWAKE UKITOKA TU ANAPIGA AIRFRESH LAKINI LEO YUPO KWA KABULI NA...
Ktk dunia hii hakuna MTU atakataa kazi iwapo ni mbaya au nzuri ilimladi inaleta kipato na fahida ya wengine .Nikianza na mh James mbatia alikuwa chali hakuna aliye mkumbuka kisiasa jk akamwita na kumpeleka bungeni kumsaidia jukumu la Elimu kweli aliweza japo si kwa % zote na watu walipiga kelele...
Ndg huyu mama Mimi kwangu in bibi sio ukoo Bali aliolewa na babu Dr chipungahelo kihistoria walitengana na yeye hakuona maana kubadili jina na kubakia na jina lake la ndoa hakuna aka ya kupotosha mtu hila tunakumbushana mkoa huu ulivyo na shuluba kwa viongozi na wengine
Hahaha mjomba nilipata tabu kipindi hicho nakumbuka ndio nimeanza tu form I pale Tegeta technical school na hats nilipo hamia Kilimanjaro kibohehe kila nikitaja jina kashifa ya kwanza nyie ndio mnashindana na serikali mnamzalau mh Mrema yaaani nikiona kuhusu Makonda na askofu ngwajima sipatiii picha
Maana ya DINI in njia au utalatibu Wa kumtafuta Mungu ndio maana kuna mamilioni ya Dini kila mmoja anasema hatasema tunamtafuta Mungu kwa kuamini kwa njia hii
Kumjua Mungu kila moja anayo nafasi hiyo lakini kwa babu yangu alikuwa mwuumini Wa Dini lakini so kwa kutubu makosa nikisema hivyo siitaji kukuambia humu Bali njoo fb kwangu kwa jina la Credy Chipungahelo au kwa email yangu Cchipungahelo26 humu tuheshimu mawanzo ya wengine na imani za wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.