Jamani nipo katika mgogoro na nafsi yangu...Je ni hasara gani zinapatikana kutumia jina la ukoo officially
Kuna mtu kanambia (mtumishi) nisitumie jina la ukoo kwa mtoto wangu maana linaakisi kabila lake hivyo itakuja kumpa tabu baadae katika harakati zake za kutafta maisha hasa akiamua...
Kuna muda wakristo wanatamani kua waislam ila basi tu wanakaza wanaogopa watu watawaonaje😂😂 uislam raha hatutungi wala hatuzui... mambo ni kwa ushahidi👌🏽 Ila jamaa wanachuki kwakua wameaminishwa uongo na viongozi wao wa DINI au wazazi wao🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
Kwenye izo personality nakua naingia ingia sijawa specific😅 by the way kwan zina maana si bc tu internet zinatubadilishia mambo miaka hii
Kila kitu ad tugoogle imekuaje cjui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.