Vyama vya wafanyakazi hawana msaada ni kama mabubu.. Ni bora kujitoa kwenye hivi vyama uchwara ili pesa ya makato ya TUCTA/TUGHE ikaongezee kulipa hiyo 15% ya HESLB
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli tayari amekwishasaini mabadiliko ya sheria yanayomtaka mwajiri kukata asilimia 15 ya mshahara wa mwajiriwa ambaye ni mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu kwa ajili ya kulipa deni lake analodaiwa na Bodi ya Mikopo
Mhandisi Stella Manyanya akiwa Kikaangoni...
Mashirika ya Serikali yanayojiendesha yenyewe na kuzalisha faida yangeachwa yafanye maamuzi yake. Huku kuingilia ingilia mtakuja kuua mashirika yawe yanasua sua kama mashirika mengine yaliyo hoi hivi sasa. Mfano huyo mkuu wa NHC mmemuandama lakini mnasahau kalitoa wapi shirika hadi hapo...
Hivi wakuu wa nchi mnajua tunavyosota lakini..!!???????? Maisha magumu hadi napata mawazo ya kuwa "PUNDA".... Na nikiingia kwenye hiyo biashara nitakuja kuuzia watoto wenu wawe mateja.
Wabongo mmezoea kubeza kila kitu.. kumiliki luxury bus sio sawa na kumiliki luxury plane.. Hizo ndege wanatumia hadi 1st world countries.. luxury plane utaeza kulipa nauli yake..? Mmeletewa ndege zinazotumia mafuta kidogo angalau na walala hoi tusafishe tongo tongo bado mnaongea..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.