Recent content by crairi

  1. crairi

    Nightmare ni nini?

    Ni ndoto ambayo inakuwa unahisi kukabwa au km unashikiliwa na kitu mwilini mzima kama ume paralyse unashidwa kuongea ni ndoto ambayo mtu akiota lazima ashtuke kiufupi
  2. crairi

    Inakuwaje mtu mwenye akili zake timamu anaamini mambo ya Mungu, shetani, uchawi na majini?

    Hiyo pumzi unayo vuta ni dalili kubwa sana km mungu yupo kuna siku utakuja jua hilo
  3. crairi

    Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

    Ni kweli kabisa huyu jamaa ni mnafiki nakumbuka nyimbo ya vinega 2010 walisema Fa unalalamika sugu amekuita shoga huo ndio ukweli wala usichukulie poa..
  4. crairi

    Hii ndiyo Nyumba Dhaifu zaidi Duniani

    Hapo mwnyezi mungu anawasema washrikina ambao utemegemea majini kuwalinda ndio anawapigia mfano kwamba hao viumbe wanavyo tegemea kuwalinda ni dhaifu mfano wa nyumba ya buibui na sio kama ulivyo ichukilia
  5. crairi

    Messi alikataa kupiga penati mara mbili kwenye mechi dhidi ya Alanas, Ronaldo aling'ang'ania kupiga zote mwenyewe

    Wabongo bhn yaan ana andika kitu km mtu anamjua sana kumbe anamuona kwenye tv tu lakini huo uandishi utasema jirani yake
  6. crairi

    NGONO INA UTAAHIRA USIO NA MFANO

    Ngono sio poa uleta nuksi na mikosi katika maisha
  7. crairi

    Adhabu ya kuchomeka milele kwenye ziwa la moto, mbona naona ni kubwa sana kuliko? Majini mliopo humu mnaionaje?

    Tusijifariji moto upo tuache madhambi msipeane iman za kifaraun Km hmna moto wa milele
  8. crairi

    Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

    Acha kulia lia mtoto wa kiume kuna channel ya mwamposa umo azam tv angalia
  9. crairi

    Mchawi ndie kiumbe mwenye akili ndogo sana kuliko viumbe vyote duniani

    Sisi tunaokaa uswahili ndio tunajua uchawi upo sababu tumeuona we mwezetu cjui uko wapi
  10. crairi

    Apostle Dkt. Boniface Mwamposa avunja rekodi zote Uwanja wa Mkapa, asema kwa Mungu hakuna mashindano

    Umelivamia basi ndugu yangu huyo yesu mwenyewe hakuwa tajiri ujue hilo
  11. crairi

    Apostle Dkt. Boniface Mwamposa avunja rekodi zote Uwanja wa Mkapa, asema kwa Mungu hakuna mashindano

    Mitume ililetwa kufundisha watu wamjue mwenyezi mungu sio kutibu watu km hawa sikuizi wapiga dili wenu wamekuwa matajiri kupitia nyie na bado hamzinduki usingzin kulijua hilo
  12. crairi

    Apostle Dkt. Boniface Mwamposa avunja rekodi zote Uwanja wa Mkapa, asema kwa Mungu hakuna mashindano

    Unandika utoto daktari atajuaje hii nyumba ina mgojwa ila hao manabii wa mchongo wanajua wagojwa wanapatikana hospital itabidi wawafate km wao ni kweli waponyaji
  13. crairi

    Kisses na maana zake.

    Na Sisi tulioachwa tuna kiss wapi turidiwe[emoji23]
  14. crairi

    Apostle Dkt. Boniface Mwamposa avunja rekodi zote Uwanja wa Mkapa, asema kwa Mungu hakuna mashindano

    Hiyo michozo tu hakuna mtu anaweza kufufua mtu isipokuwa mungu peke halafu hawa watu nawashangaa wanasema wanaponya watu badala waende hospital wawasidie watu wapone wasilipe mabili wao kazi kutapeli tu watu
  15. crairi

    Wanawake (Wajawazito) vaeni Mavazi ya Stara

    Mimi pia nimeona hiyo mara nyingi sana kwa kweli mtihani.
Back
Top Bottom