Kumekuwa na idadi ndogo sana kwa Wapiga kura kujitokeza kwenye Uchaguzi kutokana na siku ya Kupiga kura kupangwa Jumapili.
Tangia Mwaka jana wapo Wanasiasa akiwepo Deus Kibamba alishauri Serikali kupitia Tume Ya Uchaguzi kupuka kupanga siku ya kupiga kura Jumapili na badala yake kupendekeza...
NBAA ni Chombo Cha Serikali na NECTA ni Chombo cha serikali pia!!!
Jambo la Kushangaza ni kwamba wakati NBAA na NECTA vikiwa vyombo vya serikali utaona kuwa NBAA wapo makini sana katika utungaji, usahishaji na upangaji wa maksi na grading.Tangia NBAA ianze miaka ya 1970 Bodi hiyo...
Lowassa anatakiwa kuangalia umati huu apime kama agombeee kupitia ccm au akaye nyumbani ???
Maana watu wamechoka kuongozwa na ccm !!!!
Mtaji wa lowassa upo makanisani na kwa makusudi ya wenzake ccm imechafua mtaji huo kwa suala la nani achinje !!!!
Maaskofu nchini ambao ni mtaji wa lowassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.