Recent content by Covid-19

  1. C

    LUKU za kidijitali ni matumizi mabaya ya fedha

    Zaidi ya wateja laki moja wamelipia umeme tangu mwaka jana na hawajawekewa hadi sasa kisa hamna vifaa halafu unasikia mtu anakuja na mipango mingine ya upigaji. Hii nchi tumerogwa vibaya
  2. C

    TANESCO haina huruma na maskini kabisa.

    Nan kakwambia nimeenda kuomba msaada Tanesco?
  3. C

    TANESCO haina huruma na maskini kabisa.

    Mnyonge ndio nishanyongwa
  4. C

    Ambao hatujawahi kabisa kula chipsi tujuane hapa.

    Wanao ni wa me/ke? Usikute wananunuliwa huko mtaani wanaenda kula chumbani
  5. C

    Jim Ike atangaza rasmi kusilimu

    Hivi Mike Tyson balozi wa ganja Malawi nae bado anaenda msikitini? Kuna mambo ni dalili Secondary za kuelekea kudata
  6. C

    TANESCO haina huruma na maskini kabisa.

    Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana...
  7. C

    Kauli hii ya Freeman Mbowe inaashiria kitu gani CHADEMA?

    Kuhusu spana hatuna maelekezo mapya.
  8. C

    Kadi na namba za NIDA

    Habari ya Jumapili waungwana? Nawezaje kupata kadi ya NIDA kwa sisi ambao tumejiandikisha tangu mwaka 2020 na kwenye ofisi zetu za kata tumeenda lakini hakuna? Msaada pia kama walau ipo namna ya kujua namba ya NIDA maana njia zile za awali hazifanyi kazi na namba zao za simu hazipatikani zote.
  9. C

    Natafuta Binti wa kushare naye cost za nyumba

    Toeni ushauri mzuri kwa kijana. Hata mimi nahitaji wawili umri miaka 18-28 wataishi bure hapa Masaki.
  10. C

    Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

    Sasa wazawa si lazima wapate wa kuwapelekea hiyo imani? Tuache watu wasikie neno ili wachague pa kuamini. Leo hii waislam wengi wanajazana huko kwa wanaojiita manabii kuokoka na kupata uponyaji
Back
Top Bottom