Zaidi ya wateja laki moja wamelipia umeme tangu mwaka jana na hawajawekewa hadi sasa kisa hamna vifaa halafu unasikia mtu anakuja na mipango mingine ya upigaji. Hii nchi tumerogwa vibaya
Kuna mambo nchi hii yanatia hasira kupitiliza. Yaani unajibana miaka chungu unapata zako laki 3 unasema ukamwekee mzazi wako umeme walau nae aepuke karaha za giza. Unaenda TANESCO unapewa control number ya kulipia halafu unaambiwa umeme usubiri kwani kuna watu tangu December mwaka jana...
Habari ya Jumapili waungwana? Nawezaje kupata kadi ya NIDA kwa sisi ambao tumejiandikisha tangu mwaka 2020 na kwenye ofisi zetu za kata tumeenda lakini hakuna?
Msaada pia kama walau ipo namna ya kujua namba ya NIDA maana njia zile za awali hazifanyi kazi na namba zao za simu hazipatikani zote.
Sasa wazawa si lazima wapate wa kuwapelekea hiyo imani? Tuache watu wasikie neno ili wachague pa kuamini. Leo hii waislam wengi wanajazana huko kwa wanaojiita manabii kuokoka na kupata uponyaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.