LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 861
- 1,097
Kwa mara nyingine tena TANESCO inajiingiza katika gharama zisizo za lazima kwa kutaka kutekeleza mpango wa kubadilisha luku kuwa za kidigitali. Kama ilivyokuwa kwa kubadilisha nguzo za miti na kuweka nguzo za zege.
TANESCO itaondoa LUKU ambazo hazina matatizo yoyote kwa mteja auTANESCO na kuweka hizo mpya za kigitali wakati Tanesco ina madeni mengi na pia inashindwa kutekeleza miradi yake ikiwemo urekebishaji wa mifumo ya umeme na kuondoa ukatikaji wa umeme.
Nashauri uondoaji wa LUKU za zamani utegemee mahitaji binafsi ya mteja na ajigharamie mwenyewe kubadilisha LUKU na pia LUKU za kidigitali zitolewe kwa wateja wapya. Kubadilisha LUKU zote ambazo hazina tatizo lolote ni ubadhirifu na uchafuzi wa mazingira na sio kipaumbele cha tanesco wala matatizo yanayowakabili watumiaji.
TANESCO itaondoa LUKU ambazo hazina matatizo yoyote kwa mteja auTANESCO na kuweka hizo mpya za kigitali wakati Tanesco ina madeni mengi na pia inashindwa kutekeleza miradi yake ikiwemo urekebishaji wa mifumo ya umeme na kuondoa ukatikaji wa umeme.
Nashauri uondoaji wa LUKU za zamani utegemee mahitaji binafsi ya mteja na ajigharamie mwenyewe kubadilisha LUKU na pia LUKU za kidigitali zitolewe kwa wateja wapya. Kubadilisha LUKU zote ambazo hazina tatizo lolote ni ubadhirifu na uchafuzi wa mazingira na sio kipaumbele cha tanesco wala matatizo yanayowakabili watumiaji.