Kweli tumetupa nwingozo mzuri, siku hizi kila mtu mjuaji , mwanamke nae anataka kuwa juu zaidi ya mwanaume, hapa kazi tunayo kweli tutaishia " hit and run"
Tuache maisha ya kibachelor kwenye ndoa, mambo ya kuishi kama huna mke nyumbani tuyaache.. Unapofunga ndoa ishi na mkeo mambo ya vijiwe acha, kurudi nyumbani saa 6 acha, mpende mkeo mfanye rafiki yako ...
Mh! Kwa hali ilivyo sasa jamani hapana yani leo nimerudi nyumbani sina hata kumi nimetembea kutoka mjini hadi nyumbani kwa miguu namshukuru Mungu nilikuwa na unga ndani nimekoroga uji nimelala kweli hal ni ngumu jamani.
Sababu mi nadhani pesa imepungua kwenye mzunguko serikali iangalie na iweze...
Ukiwa moshi kuna mtaa wa mashenzini nyuma ya coffee curing kuanzia lang'ata mpaka daraja la bunda bar ni wazee wa kunywa wanzuki bangi na roba za mbao hapo ndo kwenyewe naona Kwa pembeni wameanzisha open university
Faida ninayo ipata nikutokana na mtaji Mdogo na ukosefu wa vitendea Kazi laiti Kama nitapata mtaji mkubwa na Gari ndogo kweli umasikini huu kwangu itabaki historia
Kiukweli Biashara ni ushindani na Kwa upande wangu nawaza hii Biashara itanifutia umasikini wangu, Kama nitaiweka wazi hapa kwangu itamaanisha nimeshindwa na nimekata tamaa
Kweli umenena wengine wanakatisha tamaa sana hata kufikiria kuwa hakuna mtu atakukopesha bila ushawishi zaidi na kujiridhisha kikamilifu wao wanakazi ya kupinga hoja za watu wengine kweli imeniuma sana
Ndugu zangu mimi ni mtanzania mkazi wa mwanza Kwa sasa nafanya Biashara ambayo ina Faida kubwa ila nakabiliwa na matatizo mawili kwanza ni kuwa na mtaji Mdogo na pili ni kutokuwa na Gari ndogo hakika naweza kurejesha mkopo huo ndani ya mwaka mmoja tu kwani hii Biashara inalipa sana. Naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.