ila bado lawama zinawarudia watawala kwasababu ndiwo wanaokubali kusaini mikataba na watu ambao hawana uwezo wa kufanya kazi wanazopewa. tena sidhani kama watawala hawa wanaangalia vizuri terms za mikataba hiyo zinavyowabana na changamoto zake!
Lumumba 3: 1 - 2 Enyi wananchi ya makinikia ni nani aliyewaroga ... nataka kuwafundisha kwamba vyeti feki wanatumbuliwa wale ambao hawapigani vita dhidi ya madawa ya kulevya [emoji23] [emoji23] [emoji38]
Kila mtu ana haki ya kuwakilishwa...! Na tatizo au uzuri ni kwamba mbele ya sheria watu wote wanatakiwa wapewe treatment sawa bila kuangalia huyu ni mtuhumiwa ... mpaka mahakama itakapompata na hatia ...!
Sheria zetu haziruhusu utaratibu huwo! Mahakama ndio chombo pekee kinachotakiwa kutoa hukumu;
ingawa saa zingine kuna vyombo vingine vinaamua kuhukumu, kitu ambacho ni kinyume cha sheria!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.