Mkapa alifanikiwa kwasababu Lowasa hakutakiwa na Kikwete pia, ila sio kwasababu eti mkapa hakumtaka Lowasa, pia kumbuka mvutano wa BM na EL ukampa nafasi JPM kupenya, ila kumbuka pia kupitishwa kwa JPM bado ulikua ushindi kwa Lowasa kwa maana JPM ni kijana wa EL ni watu ambao walikua wanaelewana...
Hii ajabu sana Yani mkuu wa wilaya ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya badala ya kuwa mfano wa kuigwa katika jamii yeye anakua mwanzisha vurugu? kwani hata angelipa na kuwalipia hao watu wake kulikuwa na shida gani? kingilio chenyewe elfu 10 kama disco toto tu, alafu...
TISS ya enzi za nyerere haitawahi kutokea, ilikuwa ni TISS ya kizalendo na waledi wa hali ya juu, sio TISS wa sasa ambao anataka kutumia kofia ya TISS kupata favor sehemu, TISS ya nyerere iliundwa na misingi ya uzalendo na weledi wa hali ya juu sana.
Hata kama kamtaja kwani kuna shida gani? sawa TISS ni siri lakini sio kwa kiwango hicho yaani watu wanachukilia kwamba idara ya usalama wa taifa ni siri sana kiasi kwamba watumishi wake hawawezi kutajwa na mkuu wa nchi, sio kwa kiwango hicho , hao maofisa tu wa CIA M16, KGB, na Mossad...
Hata kama kamtaja kwani kuna shida gani? sawa TISS ni siri lakini sio kwa kiwango hicho yaani watu wanachukilia kwamba idara ya usalama wa taifa ni siri sana kiasi kwamba watumishi wake hawawezi kutajwa na mkuu wa nchi, sio kwa kiwango hicho , hao maofisa tu wa CIA M16, KGB, na Mossad...
Usilingamnshe PhD ya lipumba na taaluma ya huyo jamaa, kwanza pitia na uone vyuo ambaavyo prof Lpumba alip
Vipi
Bachelor alisomea nini? na wapi na alihitimu lini?
Hakuna cha msuguano na USA wala nini,nadhani pana mambo madogo madogo tu ya kurekebisha, endapo msuguano ungefika to that extent kwamba unahatarisha maslahi na usalama wa marekani na rafiki zake, nadhani USA wasingesita kuvunja mahusiano ya kibalozi na kumrudisha nyumbani balozi wake...
Hakuna kitu kabaya kama kujaribu kumpindua Magufuli kwa njia yeyote ile, iwe ndani ya chama au nje ya chama, hayo unayosema mleta mada JPM ameshayafanya hypothesis zote na kupata solution zake, na kwa taarifa yako tu anajua nani rafiki wa kweli na nani ni mnafiki, na kwenye upande wa...
Huo mbona ni mchezo wa siku nyingi sana hapo UDOM, pesa wanazi fix Bank then wanapata cha juu, lakini sio kila swala mpaka JPM aingilie si kuna waziri wa Elimu kwani halioni hili? UDOM pameoza tangu zamani, . Nakumbuka mwaka 2010 kuna wanafunzi wa kozi moja ya PPM wanafunzi wapatao 220 kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.