Recent content by costadiego

  1. costadiego

    Walimu bora wa shule za sekondari kwa nyakati zote hapa Tanzania

    Yule mgonja sangu secondary alikuwa anajua sana Geography
  2. costadiego

    Jinsi nilivyopigwa na kampuni la kitapeli sunrach

    Yule Kenny na Andy kwanza nahisi ni majina feki wale paka
  3. costadiego

    Jinsi nilivyopigwa na kampuni la kitapeli sunrach

    Uko sahihi kabisa mkuu .information gap na lack of emotional control
  4. costadiego

    Jinsi nilivyopigwa na kampuni la kitapeli sunrach

    Kuna wakati pamoja na maarifa mapana ya mambo ya uchumi na shahada ya uchumi unaweza kuingizwa mnini na vijana wa IT.Safari ilianza Kwa jamaa yangu Yuko njombe kunitumia list ya wanyama na bei zao uku akinishawishi kuwa yeye anapata laki na ishirini Kila siku sikuamin akanitumia miamala...
  5. costadiego

    Ni kipi hujawahi kuona?

    Njoo simanjiro wako wote Hadi mbilikino na albino
  6. costadiego

    Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

    Nako cyo salama anaweza lawitiwa na shee
  7. costadiego

    Hoja dhaifu za necta

    Kutokutoa uchumbuzi wa matokeo kiushindani ni namna nyingine ya kuua shule ya umma maana sehemu kubwa shule binafsi zinaleta Chachu ya kuongeza tija kwenye shule za serikali.
  8. costadiego

    Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

    Acha kupoteza muda wako Kwa mambo ya kijinga nje ya ndoa ni wapi huko
  9. costadiego

    Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)

    Kwa ww unaona utapata kitu kwenye ndoa funga ila kwakweli hakuna Cha maana kwenye ndoa zaidi ya migogoro ilisiyoisha nakusumbua watu.
  10. costadiego

    Hili la vishikwambi Serikali inajiletea mtafaruku usio na sababu kwa Walimu

    Kuna kamfumo Fulani kuwasema walimu vibaya Kwa njia ya kutafuta self actualization
Back
Top Bottom