Recent content by costa

  1. C

    JamiiForums Tanzania Nini tofauti kati ya Annual na unpaid leave?!

    Nashukuru sana,kwa kuanzia nadhani nimeridhishwa na mjadala!It's relly a plus!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nini tofauti kati ya Annual na unpaid leave?!

    Wadau,kwa mujibu wa sheria za kazi za Tz,nini tofauti ya annual leave na unpaid leave?Na je vyote ni sawa?Au je,mwajiri anaweza ku'define' anavyojua yeye au tuseme kutumia maneno haya interchangeably?Je,mtu akiwa ktk annual leave hastahili kupewa mshahara,hadi akimaliza hiyo leave??
  3. C

    JamiiForums Tanzania Tuongee na mengine

    Jukwaa lenyewe ndo linavyotaka,hapa ni kazi tu ........!!!!
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kuisha kwa Mkataba wa Ajira

    Wanajamii naomba kujuzwa nini athari inayoweza kutokea iwapo mkataba uliosaini ktk ajira umeisha,mwajiri hasemi lolote ila anaendelea kutoa majukumu ya kazi tu na analipa mshahara kama kawaida.Je mfanyakazi akitaka kwenda sehemu nyingine ya kazi afanyeje?(Anaaga vipi maana mkataba wa awali...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

    mnara wa tigo huo! wazee wa 50 cent .....!wilayani bunda...!
  6. C

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

    Hebu angalieni hiyo skendo jamani!
  7. C

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

    Kama kawaida ya serikalini,kazi hadi ushikwe mkono!Tutafika?!Surely,kutangaza ni formality tuh!
Back
Top Bottom