Degree za kada ya Afya zitolewazo kwa hapa Tanzania ni pamoja na
1.Degree ya Udaktari
2.Degree ya Uuguzi/Ukunga (Zinatofautishwa siku hizi)
3.Degree ya Famasia
4.Degree ya Udaktari wa Kinywa na meno
5.Degree ya Sayansi ya maabara
6.Degree ya mionzi
Udahili katika degrees tajwa hapo juu...
Kutoka kwa Damu ukeni kipindi cha Ujauzito yaweza kua moja kati ya dalili hatarishi katika kipindi hicho hivyo unapaswa kuhudhuria Clinic haraka iwezekanavyo pia zingatia mahudhurio yako ya Clinic bila kukosa kama tarehe zako zinavyoeleza.
Dalili hatarishi zinajumuisha na:
1.Kukosa nguvu...
Muhimu kufahamu hali yako ya Presha(BP) kabla ya kutumia dawa jamii ya Viagra kwani zina tabia ya kushusha kwa kiwango kinachowaza kua hatarishi kwa Afya yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.