Guys muwe makini.
Huyu Ugumu wangu amenighilibu na kunitapeli pesa. Nachelea kusema hafanyi kazi huko kwenye idara za usalama kama anavyojinasibu.
Nimeweka picha yake na mpitie hiyo thread hapo chini mjue kilichotokea.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1973294/
Wakuu, Ugumu wangu ni janja janja, si mtu salama kufanya nae jambo llolote like linalohusu pesa. Pitieni hiyo thread hapo chini mjionee.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1973294/
sambulugu Iboya2021 secret file Ushindi victory Patrick Girigo WALOLA VUNZYA SAGAI GALGANO wakaliwetu...
Pole mkuu. Kikanuni za kiroho kulingana na biblia agano la ndoa yenu tayari limeshavunjika baada ya aliekuwa mkeo kuzini. Taasisi zetu za kiimani zimeweka utaratibu wa kutovunja ndoa ili kuepusha madhara ambayo hutokea na kuathiri sana wahusika na watoto plus kuwafanya watu wawe atleast na hofu...
Usifanye hivyo mkuu. Si jambo jema. Hata kama alikuambukiza alifanya akiwa anajua wewe usifanye hivyo kwa wengine.
Life is a precious gift, usibebeshe wengine huo mzigo kwa kudhamiria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.