Recent content by cos p

  1. C

    Urais UKAWA wawagonganisha NCCR Mageuzi na CHADEMA

    uko sawa kabisa..hii ndo pointi ya maana
  2. C

    CV ya Marcossy Albanie, mgombea Ubunge jimbo la Morogoro Mjini CHADEMA

    kweli jamaa kahigi hakuna alichokfanya
  3. C

    Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

    lusinde hana akili..
  4. C

    Kigwangalla afunika Bungeni

    hana lolote..wabunge wa ccm wanatafuta kujiosha wala hawatushitui wao wasubr hukumu yao.
  5. C

    Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

    ukawa tumaini langu...kila la kheri kamanda wangu mbowe..MUNGU AWAPE NGUVU
  6. C

    Nani ni Nani Urais 2015: Edward Lowassa - Mbunge wa Monduli

    sitta, wasira na pinda wote hawafai tena kama pinda ndo box kabisa..kwa ufupi ccm imeshatuchosha hatuihitaji tena.
  7. C

    Ratiba ya mikutano ya hadhara ya wabunge Lema na Kafulila hii hapa!

    kahama mgodi wa bulyanhulu kila alihamis zinaondoka kontena 20 za mchanga wa dhahabu na magari hayo yapoanza kuondoka asubuh yanatibua vumbi kwa wananchi kwanzia kakola hadi manzese kahama..huwa najiuliza huu mchanga unachukuliwa, na nasikia kule unakopelekwa kuna watu zaidi ya 3000...
  8. C

    Madereva wasitisha mgomo: Kero zao kutatuliwa ndani ya siku 7

    wapuuzi n serikali yako..
  9. C

    Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

    Nani azungumze sasa kama mabwege wote wa serikali wamekaa kimya, hv ukiwa kama mtetezi wa wananchi ukakuta sehem kuna tatizo hutokwenda hata kuwasikiliza, acha usenge wewe mwambie mkeo aje sasa azungumze.
  10. C

    Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

    hakuna cha mchezo mchafu, hawa ndio wawakilishi wa wanyonge kama hadi mda huu hakuna kiongozi wa juu aliekuja kuzungumza nasi kwann mbowe asije..acha mawazo potofu wewe
  11. C

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    ndo tujifunze..hi ndio serikali makini
  12. C

    DAY 2: Updates za mgomo wa madereva wa magari Tanzania - Mei 5, 2015

    hi ndo tz bwana..viongoz wapo tu wanaliangalia hili watanzania tubadrken jaman, hakuna haja ya kulaumu ss ndio tunaowaweka viongoz wapumbavu kama hawa madarakani.
  13. C

    Mtihani kwa Msaka Uraisi- Pinda!

    pinda hana maamuz kabisa, eti leo tumpe nchi? asahau kabsa hawez kuongoza nchi
Back
Top Bottom