kahama mgodi wa bulyanhulu kila alihamis zinaondoka kontena 20 za mchanga wa dhahabu na magari hayo yapoanza kuondoka asubuh yanatibua vumbi kwa wananchi kwanzia kakola hadi manzese kahama..huwa najiuliza huu mchanga unachukuliwa, na nasikia kule unakopelekwa kuna watu zaidi ya 3000...
Nani azungumze sasa kama mabwege wote wa serikali wamekaa kimya, hv ukiwa kama mtetezi wa wananchi ukakuta sehem kuna tatizo hutokwenda hata kuwasikiliza, acha usenge wewe mwambie mkeo aje sasa azungumze.
hakuna cha mchezo mchafu, hawa ndio wawakilishi wa wanyonge kama hadi mda huu hakuna kiongozi wa juu aliekuja kuzungumza nasi kwann mbowe asije..acha mawazo potofu wewe
hi ndo tz bwana..viongoz wapo tu wanaliangalia hili watanzania tubadrken jaman, hakuna haja ya kulaumu ss ndio tunaowaweka viongoz wapumbavu kama hawa madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.