Recent content by CORY

  1. C

    Tanesco yatangaza mgawo wa umeme nchi nzima

    Kama kuna jambo la kusikitisha ni hili la kuingiamwaka mpya na gizanene,ukimwambia Ngeleja anauambia hawezi kujiuzuru kwatatizo kama hili,you guy are you serious? :target:
  2. C

    Hotuba ya rais Kikwete ya kufunga mwaka 2010

    :whoo:kilio changu ni kwenye hili swala la dowans mbona hajagusia kuna nini kama sio na yeye kuwa mhusika,au ndon yale aliyoyasema Hosea kwa wakubwa kwamba anawalinda mafisadi
  3. C

    Hotuba ya rais Kikwete ya kufunga mwaka 2010

    Niridhani labda nitasikia hili la dowans mbona hasimi hayo mabilion nani anayelipwa? Hili la katiba kweli kalipatia.
  4. C

    GE2010 Uchaguzi mdogo, CCM 3, CUF 3, Chadema 1

    Hiz ni habari njema hasa kwa chadema nadhani tumeongeza Jembe baada ya yale mengine kama karagwe kufanyiwa mizengwe,hongera pia kwa waliojikomboa kutoka kwa MAFARAO Wa hii nchi!
  5. C

    Hi, am a new member!

    Jamani mi ndo naingia kwenye uwanja wa wanajamiiforum naomba mapokezi yenu mliotangulia.
Back
Top Bottom