Kivipi? Toa ufafanuzi
Fikiri kabla ya kusema. Usiwe bendera hufauata upepo. Jifunze kufikiri na kudadavua mambo kwa akili yako na si kwa akili ya kukopi na kupesti wasemayo wenzio.
No
n sense. Hivi umeshajatibu kufanya utafiti walimu wenye maadili ya UALIMU wanatoka wapi? Vyuo vikuu vinapika walimu bora wenye maadili ya ualimu au hutoa walimu wenye content kichwani lakini maadili hakuna. NA NDIO MAANA UNASHUHUDIA MAADILI KUPUNGA YA UALIMU
mmmmmm, makubwa mna mambo nyinyi. Unafikiri kuhonga ndio kumpata mtu wa kuishi naye??? Daima kuhonga ni ku buytime tu ili asikukimbie. Kwanza mke utamjua tu hatakuomba omba hela, atakushauri maendelo, kama wewe ni mtumbuaji yaani mpenda starehe atakushauri kuacha na kufanya maendeleo. Lakini...
Ukitaka kupata jibu kuwa zinalipwa na nani kwa nini usiulize gharama za kuwasafirisha watu hawa usiku wa manane kama ile ya Tundi Lissu inalipwa na nani? Je, gharama na jeuri ya kuwaweka watu mahabusu bila kuwapeleka mahakamani wanaipata wapi? Je mafuta mengi yanayotumika kuwavizia na kuwakamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.