Kulingana na mimi kuwa first born au last born, hakuna uhusiano na jinsi utakavyobehave katika mahusiano, labda malezi ua mtu anapotokea ndio inaweza kuchangia. MALEZI na sio nafasi ya kuzaliwa.
Ooh!!! Pole sana jamani kwa changamoto unayopitia. Najua inaumiza sana hisia zako mpendwa, na ni vizuri kwamba umeamua kutafuta ushauri ili kuweka mahusiano yako sawa. Kwanza nikupongeze kwa ujasiri wako wa kufunguka ili kuona jinsi gani watu watakushauri, na mimi naomba niwe miongoni mwa watu...
Ni rahisi kwa mtu anayeishi Arusha kuujua Mkoa wa Kilimanjaro kuliko Manyara kwa sababu kadhaa.
Kwanza, Arusha na Kilimanjaro ni vituo vikuu vya utalii nchini, hivyo kuna mwingiliano mkubwa wa watu kati ya mikoa hii kutokana na Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vinavyoleta watalii na...
Ni rahisi kwa mtu anayeishi Arusha kuujua Mkoa wa Kilimanjaro kuliko Manyara kwa sababu kadhaa.
Kwanza, Arusha na Kilimanjaro ni vituo vikuu vya utalii nchini, hivyo kuna mwingiliano mkubwa wa watu kati ya mikoa hii kutokana na Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vinavyoleta watalii na...
Ni vigumu kwa serikali kufungia Baraza la TEC (Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki Tanzania) kwa sababu lipo chini ya Kanisa Katoliki na kila mtu anajua ushawishi mkubwa wa kanisa hili duniani chini ya kiongozi wake mkuu Papa, ambaye hata mataifa makubwa kama Marekani hutambua nguvu yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.