Recent content by Cordy bnei shirk

  1. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Kahwa safi na fresh iliyokaangwa chini ya saa 48

    Safi kaka. Fresh coffee ni adimu sana huku nyingi zishakaa sana kwenye shelf.
  2. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Balozi Simon Sirro: Watumishi timizeni wajibu wenu, kwa maendeleo ya taifa

    Ningekua Afande ningepumzika. Kutoka ubalozi mpaka Kuna kupigishana makelele mkoani.. imagine tulikua IGP
  3. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka husika zichukue hatua za haraka kuhusu usafirishaji abiria halmashauri ya Wilaya ya Rombo

    Kwa route kama hizo kwa gari kama coaster zitalipa zikija gari za umeme. Coaster haizwezi kuletwa sababu hazilipi na hakuna abiria wengi.
  4. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Diamond Platinumz alivyomtembelea Balozi Kairuki alivaa kiholela. Muone 50 cent sasa!

    I can feel that too. For his level he has painfull experience first hand bureaucracy and how the gov work.
  5. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watoto wa maboss huwanyanyasa kingono wasaidizi wa kazi za nyumbani

    Hu Hua inakera mpaka hasira nasikia mimi.
  6. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ajiua na wanawe (4) kwa sumu kisa mke mwenza kajengewa nyumba

    Ila ndoa za wake wengi. Wanaume wengi wanaoa kama kumkomoa mke mkubwa au kumuonesha kama “yeye mwanaume” anaweza akapat mtu mwengine.
  7. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ajiua na wanawe (4) kwa sumu kisa mke mwenza kajengewa nyumba

    Inategemea sana. Mimi ni product ya ndoa ya wake wawili mamangu aliolewa kama mjane mke wa pili akiwa na watoto watatu kabla ndio nikapatikana mimi. Tuliishi pamoja na mke mkubwa ambae alikua na watoto 5 tayari. Nililelewa na wamama wawili kwenye nyumba moja vizuri kabisa.
  8. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ajiua na wanawe (4) kwa sumu kisa mke mwenza kajengewa nyumba

    Nimesikitika sana,huyu bibie alikua na watoto wanne ila akaona bora ajifie na wanae sababu aliona dunia haina nafasi tena kwao. Katelekezwa kihisia zaidi kwa mtu aliyetegemea atakua ngome yake.. umemzalisha watoto wanne lakini bafo unahaha kiholela. Hii ni unyanyasaji wa hali ya juu. Wanaume...
  9. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Israel kila nyumba na mtaani kuna Bomb shelters.
  10. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko Kutoka kwa Mzazi wa Mtoto wa Darasa la Nne - Shule ya Victoria, Makumbusho

    Upo sahihi sana. Mtoto likizo nzima bado anaenda unawedha ukadhani walimu wana uchungu sana kumbe kula siku anayoenda lazima achangie.
  11. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Natafuta kuanzia tonne 5 ya Hass or fuerte Avocado kwa maeneo ya Arusha or kaskazini

    Unamanisha 1900Tsh au sio? Na kilo unaweza ukapata maparachichi mangapi?
  12. Cordy bnei shirk

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Kiswahili ni lugha ambayo haitoshelezi ndio maana hatutumii kufundishia sekondari na chuo. Hata shule ya msingi tunafosi tu.
Back
Top Bottom