Recent content by copernicucci98

  1. C

    Mnaoishi Mabwepande au Chanika na kufanya kazi Posta mnaamka saa ngapi ili kuwahi ofisini?

    Mtu wa hivi hata kuweka akiba ya uzeeni haitowezekana. Akishastaafu anaanza kuhangaika kuomba hela ya kula. Kimsingi atapumzika kaburini.
  2. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uandishi mzuri, aya zimepangika. Siyo wale wengine wanaandika utafikiri kesho inaishia leo.
  3. C

    Taja jina la mtu ambaye hujawahi kukutana nalo zaidi ya mara moja

    Kb you mean Kibaha? Huyu itakuwa Kibaha 2004-2006
  4. C

    Change Makers2023: Wanawake wang'ara. Dkt Samia Suluhu, Dkt Mwinyi na Ruth Zaipuna wa NMB vinara. Melo wa JF, Mbowe na Zitto wajitokeza

    Kwa mfumuko wa bei unaoendelea, kaka Mwigulu Nchemba amefanya mabadiliko yepi?
  5. C

    Change Makers2023: Wanawake wang'ara. Dkt Samia Suluhu, Dkt Mwinyi na Ruth Zaipuna wa NMB vinara. Melo wa JF, Mbowe na Zitto wajitokeza

    Sector ya afya nawaona Ummy Mwalimu, Prof Janabi, Dr. George Mgomella, Brenda Msangi ---
  6. C

    Hodi hodi Masasi . Wenyeji wa Masasi " nipokeeni"

    Spesifikesheni za loji kali kwa Newala ni zipi?
  7. C

    Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

    Daktari wangu Lizzy
  8. C

    Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop

    Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop --- Just OldSchool. J3 wapi? J4? J5? Alh? ... JPili? Hizi Amapiano siyo type zangu, zinaniboa sana.
  9. C

    Wazazi kuna hizi shule za English Medium ni majina tu ila ni takataka. Lakini bado zipo!

    English medium ya mwao ada bei gani? Just a random question.
  10. C

    Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni

    Nikutie moyo kijana, kuchovya sehemu yenye HIV siyo kupata HIV. Kama kweli ana HIV chances za wewe kuukwaa ni less than 1%; Sema ukiukwaa hiyo 1% inageuka kuwa 100% kwako. Gonorrhea, ama kweli wewe ni muaminifu. Watu wanatibu gonorrhea kila mwezi na bado mamboo yamewasimama wima. Pole!!
  11. C

    Mkuu wa W.H.O asema ikiwa UN haiwezi kusitisha maafa ya Gaza kuna umuhimu gani wa kuwepo kwake

    Nilijua mkuu wa WHO ni Dr. Tedros. Huyo mwingine ni nani?
Back
Top Bottom