Recent content by Controversial

  1. C

    Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

    Kwa taarifa za uhakika nilizozipata ni kuwa Polycarp Pengo alikuwa Marekani akitibiwa kwa takribani mwezi mmoja, ktk safari yake ya kurudi Tanzania alipitia Dubai na daktari wake alimshauri apumzike hapo Dubai walau kwa siku moja hivi na akafanya hivyo(ilikuwa juzi tarehe 15 Juni 2017), sasa...
  2. C

    Ndoto ya Magufuli yatimia

    Ni bora kumpima mgombea uraisi ambaye tumekaa nae Serikalini akatufanyia kazi zikaonekana na mwisho wa siku tunampa pakubwa zaidi. Alijitahidi katika Wizara ya Ujenzi na rekodi nzuri ya uchapakazi.
  3. C

    Ndoto ya Magufuli yatimia

    Ni ile ya kutoka Mtwara mpaka Bukoba kupita katika barabara ya lami. Ni mwaka 2005 alipotoa maneno hayo; Mkapa na Magufuli mwaka 2005 Jiwe la Msingi Nangurukuru – Mbwemkuru (Lindi) km 95. Rais Benjamin Mkapa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli mwaka 2005 walipoweka Jiwe la msingi...
  4. C

    Mradi wa DART (Mabasi mwendo kasi) umesimama, Serikali haina fedha

    Huu ni uzushi usiokuwa na msingi, STRABAG utawaona kesho wakiendelea na kazi, ila pia sijui kwa nini watanzania mnapenda sana mabaya kuliko mazuri, likitokea baya mnaandika sana humu, mazuri kimya - very disappointing!
  5. C

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Ukweli ndio huo
  6. C

    Magufuli huyu ninaye mjua anagombea Urais

    Nchi itasonga mbele!
  7. C

    Magufuli huyu ninaye mjua anagombea Urais

    Nafuu umemridhisha kwa jibu la ukakasi sijui ataibuka tena!
  8. C

    Kamati kuu ya CCM haina ujasiri tena wa kulikata jina la Lowassa?

    Kawadanganye wengine, top 5 yenyewe haina gender, upuuzi mtupu!
  9. C

    Magufuli huyu ninaye mjua anagombea Urais

    Kwa jinsi alivyoandika walikutana JKT shule sidhani.
  10. C

    Magufuli huyu ninaye mjua anagombea Urais

    Ukawa bado kuna wababaishaji tu, kwa mbali namuona Tundu Lissu siku za mbeleni!
  11. C

    Mwaka 2005 Mmoja wa Waasisi wa Taifa mzee Mustapha Songambele alimtabiria Magufuli

    Magufuli kalifanyia makubwa taifa hili, ngoja tuone hizi mbio!
  12. C

    Magufuli huyu ninaye mjua anagombea Urais

    Kiongozi tupo pamoja ila tunashambuliana bila kujua.
  13. C

    Magufuli ajibu shutuma za Zitto

    nasaidia tu nisitukanwe, kipindi kile Kikwete aliingia full kurudisha nyumba kama unakumbukumbu vizuri, alichokifanya kwanza ni kumuondoa Magufuli ili wajue makosa wapi yalifanyika na kuzirudisha, lakini ilionekana hakuna makosa. Hiki ndicho kilifanywa Magufuli akaondolewa Ujenzi.
Back
Top Bottom