Kila siku mimi ninadhani kwa jinsi siasa za bara la africa zilivyo mfumo wake uliridhiwa au
kupokelewa kinafki , ki usaliti , kizandiki na kiubinafsi yaani kwakujipendekeza pendekeza na ndivyo
tume uchukulia ni mfumo hata mashuleni na maishani maranyingi. Mara nyingi hata tukiona...
Kila siku mimi ninadhani kwa jinsi siasa za bara la africa zilivyo mfumo wake uliridhiwa au
kupokelewa kinafki , ki usaliti , kizandiki na kiubinafsi yaani kwakujipendekeza pendekeza na ndivyo
tume uchukulia ni mfumo hata mashuleni na maishani maranyingi. Mara nyingi hata tukiona...
Makonda utakufa kwa njaa zako na kutafuta umaarufu ambao hauna maaana , sawa , ila
tambua lowassa ndio chaguo letu watanzania wote walio na vyama na wasio na vyama\
'' lowassa ni the next pressident wa tanzania yetuu mpya ''
Hata kipindi tuna muunga mkono jk , nyinyi wakushindwa mlikuwa upande huohuon wa kushidwa , sasa
wewe unasema apsoni ni wakushindwa , mtu ambae anajua kila kona ya nnchi na nini kilipo
wewe katika ukoo wenu hapajatokea hata diwani, wewe ni mshamba hata unachokiandika hukijui
ukweli...
Unajua mimi nnapenda sana mki mjadili pinda kwasababu kukua kwa pinda ndio kifo cha membe,
membe anategemea viongozi serekalini na pinda naye anategemea serekaliini maana watu wana
taka fea na misaada ya kazi, kwahiyo wana pakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kwamba wanakubalika
ikifika...
Shoza juliana , pole ila nna juajinsi roho yako inavyouma na kujilaumu kwanini ulidanganyika
wakati ulikuwa unaujua ukweli hauwezi kuwa uwongo, ila ni tamaa ya umaarufu kudhani umaarufu
ungekusaidia, sasa pesa walikupa ila wamekuacha na wanakujali kidogo tofauti na mwanzo
aliye...
mtoa mada wewe nime kukubali achana na mabwege wanao waza kwa kutumia masaburi.
Umeandika vitu bara sana ijapokuwa nnajua kuna madhara na faida ya kuwa na katiba bora
ila faida ni nyingi kuliko hasara ,. Jamani tambueni jamani katiba bora ina faida na hasara
ni kweli zitto k kafanya mengi sana na makubwa sana kuliko nnavyo mjua ,
ila kufanya mengi na makubwa au kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria na
kuelezea mambo sio sababu ya sisi kuku bali unafiki na tamaa yake ya pesa
akihuisi kwamba hatojulikana niukweli aliteleza au maisha mazuri anayo...
Mhhhh Ndugu Mwandishi hapa usiandikie ushabiki au Historia kiukweli maneno ya mwalimu yalikuwa sawa
kipindi kile, lakini sio sasa, Ishu ni kwamba mtu akiona kuna tatizo na ataweza kulitatua kama akipewa nafasi
kwanini asiombe wakati anaamini , kwa nini mwalimu anasema tumwamini asiye...
Nnnacho sema ni kwamba wewe Chabruma ni MMBWA tuu kwa KARAMAGI yaani wewe ni panya tuu kwa hao
unaowafwatilia mwishowe unateseka bure kwakutumwa mwishoni watakuuwa kwasababu huna mbinu ,
kielweli LOWASA NDIO RAISI WA TANZANIA KATUTOA MBALI , KITENDO CHA KUKAA MADARAKANI MIAKA MIWILI...
haipendezi mwana mume kuwa mmbea sasa unakuja kutuambia ili nini sasa , hizo ni habari za kike
na wanaokutuma wamekosa kazi kwani unazidi kuwapigia kampeni bila kujua , kama mm nlikuwa sijui
kama anawatu wote hao maarufu wanamuunga mkono ndiio umeniambia na ndio nnaanza kumkubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.