Recent content by ContentCreator

  1. ContentCreator

    Biashara hizi zimezuiwa kufanywa na wafanyabiashara wa kigeni

    Jana Waziri wa Viwanda na Biashara ametunga amri inayozuia wageni kutoka mataifa ya kigeni kufanya baadhi ya biashara kama zilivyoainishwa kwenye amri hiyo. Amri hiyo imetungwa kupitia kifungu Cha 14A(2) Cha Sheria ya Leseni za Biashara yaani Business Licencing (Prohibition of Business...
  2. ContentCreator

    Payoneer account verification

    Weka swift code ya bank unayoitumia. Kwa NBC swift/Bic Code ni: NLCBTZTX
  3. ContentCreator

    Unapiga side hustle gani kukuingizia kipato?

    Freelancing (Upwork, Fiverr, Freelancer dot com, PeoplePerHour, Guru dot com etc
  4. ContentCreator

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    UPDATE: Nilifanikiwa kuripoti kazini na kupokelewa kazini.
  5. ContentCreator

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Waje watoe mwongozo make nipo njia panda
  6. ContentCreator

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu nilikuwa napitia pdf nikakuta kumbe jina langu limo kwenye pdf ya mwezi wa 7 yaani mwezi ushakata make nilikuwa na majukumu sikuwa napitia website ya utumishi. Vipi nikienda utumishi wanaweza kunipa barua na nikaripoti kazini au ndo nimepoteza ajira kabisa. Na je mtu usipoenda kuchukua...
  7. ContentCreator

    Payoneer account verification

    Ndiyo lakini hiyo lease agreement iwe na majina Yako sahihi na address Yako sahihi yaani taarifa zilizopo Payoneer zifanane na taarifa zilizopo kwenye lease agreement. Kuna lease agreement nilitumia kuverify ningeipost hapa ila nimeitafta kwenye simu yangu siioni tena
  8. ContentCreator

    Payoneer account verification

    Tumia utility bill kama water & Electricity Bill, hizi Bank Statement za CRDB hazionyeshi address wanazohitaji Payoneer. Mimi nilitumia lease contract wakakubali chap
  9. ContentCreator

    Kutengeneza Dola mtandaoni: Ni kweli kuna Watanzania wanapiga kazi zenye mkwanja online na wamefanya ziwe ajira rasmi?

    Freelancing kupiga $400+ kwa mwezi ni kitu cha kawaida. Nina almost 3 years nafanya freelancing kwenye majukwaa ya Kidigitali Upwork & Fiverr
  10. ContentCreator

    Je, kuna Mtanzania anaingiza kipato kutokana na Teknolojia hii ya Artificial Intelligence?

    AI inanisaidia kutengeneza social media post kwa client wangu wa Upwork
  11. ContentCreator

    Msaada wa haraka

    Bila shaka unamzungumzia Anydesk au Team Viewer, kutumia hizo tools natakiwa pia niwe nimewasha PC yangu ili aweze kupata access ya kile kinachoonekana kwenye PC yangu, Sasa hapo unaona ugumu uliopo
  12. ContentCreator

    Msaada wa haraka

    Freelancing mkuu
  13. ContentCreator

    Msaada wa haraka

    Okay, ushauri wako ni upi mkuu?
Back
Top Bottom