Recent content by CONSISTENCY

  1. CONSISTENCY

    Weekend hii nitakuwa Kilwa, maeneo yapi ni mazuri/muhimu kutembelea

    Nchi yetu hii nzuri sana ila Kuna mafisadi wachache ndio wanaiharibu. Maeneo ya kubarizi kilwa ni 1. Kilwa kisiwani, utaenda na boti za kukodi tokea bandari ya kilwa masoko. 2. Kilwa songomnara, pia huko utaenda na boti kutokea bandari ya kilwa masoko. 3. Kuna mawe maarufu ambayo kihistoria...
  2. CONSISTENCY

    Jakaya Kikwete ndiye aliyemtengeneza Polepole

    Maji machafu yenye tope.
  3. CONSISTENCY

    Huyu Angela Kizigha ni nani hasa huko CCM au serikalini?

    Huyo mzee ni kama mtu aliekula nyama ya mtu, hivyo anatamani kula tena na Tena, Ila huo ulafi utakuja kumtesa sana yeye na kizazi chake chote
  4. CONSISTENCY

    Huyu Angela Kizigha ni nani hasa huko CCM au serikalini?

    Hiyo yote ni michezo ya JK, na hao ni sehemu ya fisi anaowafuga kwa ajili ya kula rasilimali za hii nchi. Kuna fisi wengi anaofuga JK wanakula rasilimali za hii nchi, hao waliojulikana ni sehemu ndogo ya fisi ambao hawajafahamika ila wako wakila rasilimali za hii nchi hadi mda huu. JK atakuja...
  5. CONSISTENCY

    Huyu Angela Kizigha ni nani hasa huko CCM au serikalini?

    Kuna mda unajiuliza kwamba labda JK sio mtanzania ila ni clone yake ambayo hatujui, maana kwa jinsi anavyotukomesha kwa uharibifu mkubwa wa utaratibu na rasilimali za nchi ni kama anatukomoa na hao fisi anaowafuga wanakula Kila rasilimali za hii nchi. Inasikitisha sana
  6. CONSISTENCY

    Huyu Angela Kizigha ni nani hasa huko CCM au serikalini?

    Hao ndio watu wa CCM, Kuna mtu atakuja kulipa madeni makubwa aliyosababisha kwenye hii nchi yeye na kizazi chake chote namaanisha mzee wa msoga. Aina nyingi za ufisadi katika hii nchi ni anahusika kwa namna moja ama nyingine.
  7. CONSISTENCY

    Huyu Angela Kizigha ni nani hasa huko CCM au serikalini?

    Huyo ni mtoto wa marehemu Charles Kizigha aliekua mwandishi mstaafu wa magazeti ya Daily news na Sunday news na huyo mzee ni rafiki wa karibu wa mzee wa msoga. Hivyo ukiona matendo ya huyo mama kama ni heri au shari ujue yana uungwaji mkono toka kwa mzee wa msoga. Picha chini ni marehemu...
  8. CONSISTENCY

    Baadhi ya Watanzania Waitakia Ushindi Timu ya Taifa ya Morroco, Wamenukuuu ahadi ya kwanza ya TANU

    Na iwe hivyo hivyo, ccm inaharibu hii nchi kwa Kila kitu kukihusisha na utapeli wao wa kisiasa.
  9. CONSISTENCY

    GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Mbeya: Kama kweli CCM imefanya kazi nzuri kwanini waogope kushindana na CHADEMA

    Hakika Mbeya hakuna njaa, yani huyo Mwambigija anaongea vitu vya msingi huku karilax kabisa. Safi kabisa Mbeya, nchi yetu inahitaji uhuru wa mara ya pili.
  10. CONSISTENCY

    Nimeibiwa Simu Nashindwa Kurenew Simcard Niliosajiliwa na Mtu Ambae Sasa Hayupo, Msaada

    Nenda kwenye duka la mtandao husika wa sim card unayotumia, omba kuongea na meneja mueleze ukweli wa kilichotokea. Meneja atampigia muhusika wa hiyo laini kama anakutambua na anaitambua hiyo namba, kama ndivyo itafungwa na kusajiliwa kwa NIDA yako au huyo muhusika atakusaidia ku renew hiyo laini...
  11. CONSISTENCY

    Kuna yeyote wa kabila Masai atampigia kura Samia?

    Hao ni wanafiki tu kwa saa100, wapo kwa ajili ya njaa zao tu ila mioyoni mwao hawampendi wala hawataki kumuona huyo saa100 akiwa rais baada ya saa100 kufukuza ndugu zao kule Ngorongoro
  12. CONSISTENCY

    Nyerere " Ikulu ni mahali patakatifu, Sikuchaguliwa nipageuze kuwa pango la walanguzi"

    Hii kauli ya Mwalimu Nyerere inatafakarisha sana kwa yanayoendelea nchini kwenye huu utawala wa sasa.
Back
Top Bottom