Kama kuna uasi ndani ya vyombo vya Ulinzi na Usalama hapo kweli unaweza ukatatarajia jambo, but kama ni hayo yaliyokuwa yakitajwa mitandaoni sahauni kwa kweli.
Halafu hata uasi au matishio kutoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama huwa hayafanywi kwa style hiyo. Huwa havitishii, sababu by so...
Ujio wa Mitandao ndiyo umeua kabisa akili za Watanzania. Angalau kabla ya mitandao ya Kijamii waliweza kusimama kama nchi, lakini tangu watu zaidi wameweza kuwa na access na mitandao, watanzania wamefanikiwa kuendelea kulala kama nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.