Kama utachukulia dini kama kikosi cha jeshi, kinachojiandaa kupambana vita ya silaha, au kama utaichukulia kama mtoto unayemlea hapo naweza nikasema upo sahihi na wanaokubeza pia wapo sahihi.
Ila, kama utaichukulia dini kama njia, au kimbilio baai kuna kitu mtakuwa kwa pamoja mnakosea...
Hakuna njia isiyo na kanuni ya kuzifuata. Labda mnahangaishwa na swala la Utamadunisho, hivyo mkatamani dini inayofuata utamaduni wa watu fulani huku waumini wake wakitakiwa kuufuata utamaduni wa nchi fulani.
Katika Ukristo watu walitenganisha imani na utamaduni.
Ikitokea hamjaitwa kutoa maoni ndiyo mlalamike. Mnataka mshirikishwe kuandaa Mpango wa taifa kwa akili na mentality za kilalamishi? Kwa lishe ipi?
Kikubwa ni kwamba wale wote unaodhani wanastahili watafikiwa na kutoa maoni yao. Wakikataliwa ndipo mje mlalamike.
Mtu kama amejipambania hadi...
Ushauri wangu kwako ni huu; badala ya kumuita mwenzako mpotoshaji ungeomba mjadala.
Ninachokuhakikishia, hakuna wakati wowote ule ambapo Tabora na Kilimanjaro viliwahi kufikiriwa kuwa jina lanchi kabla ya Tanganyika.
Kabla ya Tanganyika Tabora ilikua bado haijawa named kama mji, ilikua bado...
Mwisho wa mwaka huu, ni muda wa watu kutoana out baada ya kazi ngumu ya kutafuta pesa na visirani vya kukwaruzana na mabosi.
Swali ni je, hao wote wamelipiwa na serikali? Bila shaka jibu ni hapana.
Huruma na upendo gani mlio nao kwa wananchi hao ambao kamwe hamjawahi kuheshimu maisha wala maamuzi yao? Mngekua mnawaheshimu msungefumbia macho ufisadi mnaoufanya huku mnashangilia, wala msingeingia mikataba ya kipumbavu kama ya bandari.
Pili mngekuwa mnwaaheshimu msingekua mnafinyanga maamuzi...
MKe wako ambaye matako yake unaruhusiwa kuyashika, uchi wake unaruhusiwa kuuona na kuu https://jamii.app/JFUserGuide, chupi zake unashika, chuchu zake unanyonya lakini simu yake iliyonunuliwa Kariakoo ndiyo iwe mwiko kuishika? Hivi huwa mnajisikiliza kweli mnavyoongea hayo mambo yenu?
Mnaacha kukumbushana matumizi...
Nipo mkuu wangu, tunabishana tu na maisha yanayotupanga na kututaka tuthibitishe kama kweli tunataka kuendelea kuishi, naso tunathibitisha kwa kutafuta kwa jasho na damu.
Nashukuru sana kwa kunitambua.
Hao vijana labda wawe wageni tu hapa duniani.
Sisi kitambo tu stress tunaishi nazo. Umeshawahi kula ugali kwa harufu ya soksi?
Dunia bila stress hainogi.
Dunia ya sasa mafunzo yote yapo, hakuna haja ya mafunzo mapya.
Unataka kujifunza nini wakati kuna search engine kibao ambazo ambazo zenyewe zina index queries zako ukixiomba na zaidi tuna AI ambazo zipo well trained na nyingine sasa ni out of control kwani self learnung na zina pick data na...
Sasa wa kulaumiwa ni nani? Wakaazi wa Mbeya au watu wataalamu wanaotoa vibali ili squarters zijengwe badala ya kusimamia ujenzi kwa mujibu wa mipango miji?
Wananchi wanakuwa shaped na sheria, kanuni na taratibu. Likikosekana hilo hapo lazima uholela uingilie.
Inawezekana Mbeya hakuna Serikali au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.