Recent content by Consigliere

  1. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwa jicho la jasusi mbobevu

    umeibua jambo muhimu sana. Kuna kitu cha kufikirisha sana kiliwahi kujitokeza wakati wa kesi ya Mbowe lakini nilishangaa watu hawakuwahi kabisa kujiuliza, badala yake walijikita kwenye kulia huku wengine wakifanya maombi , wengine wakiingiwa ubaridi kwa kumuonea huruma kwa ukatili aliofanyiwa...
  2. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Kabla hata ya cross examination mimi nilishasema kwa maelezo aliyoyatoa huyu Goluga hakupaswa kabisa kuwa shahidi kwenye hii kesi sababu hana umakini na hajui athari ya anayoyaongea au anafanya makusudi, baada ya muda hata Lissu akaanza kumuonya kiaina…maana alishamuona kuwa huyo ni Doumbia...
  3. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Nimesoma ushahidi wa Golugwa, inaonyesha si mtu Makini kwenye haya mambo na hajui athari za anayoyaongea, hakupaswa kuwa Shahidi…ni oya oya sana. Anaonekana ni mcheza na Majukwaa
  4. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Je, Kipaumbele cha Kiongozi Kinapaswa Kuwa kwa Wananchi au kwa Mfumo wa Madaraka?

    Video hizi mbili fupi zinatupa taswira ya kina na ya kipekee kuhusu mienendo ya uongozi wa kitaifa, siasa za madaraka, na migogoro ya kimaslahi inayowakabili viongozi na watoa maamuzi. Katika siasa za sasa, uaminifu wa kweli mara nyingi huchanganywa na utii wa kufuata maagizo bila kuhoji...
  5. Consigliere

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kitaalamu ningewashauri msikimbilie huko kwenye apps, mtakuja kuvuliwa kwa wingi kama dagaa.
  6. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati kuondoka ni aina ya ujasiri na kujali kuliko kung’ang’ana

    Kuna jambo ambalo huenda likawa gumu sana kwa kiongozi kulifanya, lakini likawa jambo la muhimu zaidi kwa nchi: kujipima mwenyewe na kukubali kwamba wakati mwingine kuondoka ni bora kuliko kulazimisha kuendelea. Tunaweza kulielewa jambo hili kwa kutumia mfano wa maisha ya kawaida kabisa. Mtu...
  7. Consigliere

    JamiiForums Tanzania GE2025 Marais wanne tu wa Afrika wahudhuria uapisho wa Samia, huku majirani - Kenya, Uganda, DRC na Rwanda wakiupotezea

    Zambia wameliamsha kwa rais wao kuhudhuria. Yupo kujitetea tu sasa hivi
  8. Consigliere

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona mnatukatisha tamaa mapema hivi wakati ndio kwanza siku imeanza? Tulieni Polisi wapate surprise!

    Kama kuna uasi ndani ya vyombo vya Ulinzi na Usalama hapo kweli unaweza ukatatarajia jambo, but kama ni hayo yaliyokuwa yakitajwa mitandaoni sahauni kwa kweli. Halafu hata uasi au matishio kutoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama huwa hayafanywi kwa style hiyo. Huwa havitishii, sababu by so...
  9. Consigliere

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    Ujio wa Mitandao ndiyo umeua kabisa akili za Watanzania. Angalau kabla ya mitandao ya Kijamii waliweza kusimama kama nchi, lakini tangu watu zaidi wameweza kuwa na access na mitandao, watanzania wamefanikiwa kuendelea kulala kama nchi
  10. Consigliere

    JamiiForums Tanzania GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Watanzania wanasheherekea timu zao zote kuingia makundi. Sasa hivi wanasubiri draw
  11. Consigliere

    JamiiForums Tanzania JWTZ kule hakuna maneno ni muda wa vitendo. Get ready

    Hawa na Mgambo huwa wanaweza kupiga raia tu.
Back
Top Bottom