umeibua jambo muhimu sana. Kuna kitu cha kufikirisha sana kiliwahi kujitokeza wakati wa kesi ya Mbowe lakini nilishangaa watu hawakuwahi kabisa kujiuliza, badala yake walijikita kwenye kulia huku wengine wakifanya maombi , wengine wakiingiwa ubaridi kwa kumuonea huruma kwa ukatili aliofanyiwa...
Kabla hata ya cross examination mimi nilishasema kwa maelezo aliyoyatoa huyu Goluga hakupaswa kabisa kuwa shahidi kwenye hii kesi sababu hana umakini na hajui athari ya anayoyaongea au anafanya makusudi, baada ya muda hata Lissu akaanza kumuonya kiaina…maana alishamuona kuwa huyo ni Doumbia...
Nimesoma ushahidi wa Golugwa, inaonyesha si mtu Makini kwenye haya mambo na hajui athari za anayoyaongea, hakupaswa kuwa Shahidi…ni oya oya sana. Anaonekana ni mcheza na Majukwaa
Video hizi mbili fupi zinatupa taswira ya kina na ya kipekee kuhusu mienendo ya uongozi wa kitaifa, siasa za madaraka, na migogoro ya kimaslahi inayowakabili viongozi na watoa maamuzi.
Katika siasa za sasa, uaminifu wa kweli mara nyingi huchanganywa na utii wa kufuata maagizo bila kuhoji...
Kuna jambo ambalo huenda likawa gumu sana kwa kiongozi kulifanya, lakini likawa jambo la muhimu zaidi kwa nchi: kujipima mwenyewe na kukubali kwamba wakati mwingine kuondoka ni bora kuliko kulazimisha kuendelea.
Tunaweza kulielewa jambo hili kwa kutumia mfano wa maisha ya kawaida kabisa.
Mtu...
Kama kuna uasi ndani ya vyombo vya Ulinzi na Usalama hapo kweli unaweza ukatatarajia jambo, but kama ni hayo yaliyokuwa yakitajwa mitandaoni sahauni kwa kweli.
Halafu hata uasi au matishio kutoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama huwa hayafanywi kwa style hiyo. Huwa havitishii, sababu by so...
Ujio wa Mitandao ndiyo umeua kabisa akili za Watanzania. Angalau kabla ya mitandao ya Kijamii waliweza kusimama kama nchi, lakini tangu watu zaidi wameweza kuwa na access na mitandao, watanzania wamefanikiwa kuendelea kulala kama nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.