Recent content by Consigliere

  1. Consigliere

    GE2025 Marais wanne tu wa Afrika wahudhuria uapisho wa Samia, huku majirani - Kenya, Uganda, DRC na Rwanda wakiupotezea

    Zambia wameliamsha kwa rais wao kuhudhuria. Yupo kujitetea tu sasa hivi
  2. Consigliere

    GE2025 Mbona mnatukatisha tamaa mapema hivi wakati ndio kwanza siku imeanza? Tulieni Polisi wapate surprise!

    Kama kuna uasi ndani ya vyombo vya Ulinzi na Usalama hapo kweli unaweza ukatatarajia jambo, but kama ni hayo yaliyokuwa yakitajwa mitandaoni sahauni kwa kweli. Halafu hata uasi au matishio kutoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama huwa hayafanywi kwa style hiyo. Huwa havitishii, sababu by so...
  3. Consigliere

    GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    Ujio wa Mitandao ndiyo umeua kabisa akili za Watanzania. Angalau kabla ya mitandao ya Kijamii waliweza kusimama kama nchi, lakini tangu watu zaidi wameweza kuwa na access na mitandao, watanzania wamefanikiwa kuendelea kulala kama nchi
  4. Consigliere

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Watanzania wanasheherekea timu zao zote kuingia makundi. Sasa hivi wanasubiri draw
  5. Consigliere

    JWTZ kule hakuna maneno ni muda wa vitendo. Get ready

    Hawa na Mgambo huwa wanaweza kupiga raia tu.
  6. Consigliere

    GE2025 Askari wa JWTZ wakipiga kura za mapema Zanzibar

    Valantia wanavaa sawa na JW, halafu hoja iliyopo hapo angalia vizuri huyo aliyekuwa circles...huyo ni Chipukizi
  7. Consigliere

    GE2025 Samia: Tutaanzisha Tume ya Upatanishi ya Kitaifa, yenye jukumu la kuimarisha umoja, maridhiano, na mshikamano kwa Watanzania

    Mapato hayo ni ya aina gani wakati wanaharibu, wanaua na kuwapa watu kesi makusudi huku wanaahidi maridhiano?
  8. Consigliere

    GE2025 Askari wa JWTZ wakipiga kura za mapema Zanzibar

    Umewaangalia vizuri? Unasema wapya wakati hao ni Chipukizi? Jeshi linaajiri watoto?
  9. Consigliere

    GE2025 Askari wa JWTZ wakipiga kura za mapema Zanzibar

    Hawa ni baadhi tu ya Askari wa JWTZ wakiwa kwenye foleni ya kupiga kura za mapema visiwani Zanzibar
Back
Top Bottom