Za asubuhi wadau,
Kwa haya yanayoendelea kwa viongozi wa juu wa serikali kushindwa kuchukua maamuzi kisa kulindana, huu ni udhaifu mkubwa unaoonyeshwa na viongozi wetu.
Mbaya zaidi viongozi hao akiwemo waziri mkuu wamejinadi wanataka kugombea Urais,mi nashindwa kuelewa kitu kimoja...kama...
Rais Kikwete ni mojawapo ya marais bora kutokea katika jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Nasema hivyo nikiwa na reflect hali ilivyokua kutoka kipindi cha Mwinyi, Mkapa na mpaka sasa anamalizia Kikwete.
Ni suala lililo wazi na linaloonekana kua katika kipindi hiki tumeshuhudia maendeleo makubwa...
All in all lile Mbulula Mbowe linaburuza mijitu mingi sana....ila hii yote mi nawalaumu akina Prof. Lipumba na Mwanasheria Mbatia...mtakubalije lile li form six liwapangie mambo???:wacko::wacko::juggle:
Yaani kwa style hii kuna mijitu inaropoka tu humu ndani...CHADEMA imeanza kupungua makali toka ilipoingia kwenye mgogoro na ZZK na hili halihitaji degree...ila kwa sababu kuna mijitu ni mishabiki basi kazi yao ni kushangilia tu hata kama inakula upande wao...mtoa mada umenena sahihi...mtu...
Hili kweli mi ndio linanishangaza...hii nguvu wanayotumia hawa viongozi wa CHADEMA inatishia kidogo na sidhani hata kama wakishinda kutakua na jipya hapa.Hivi mshawahi kujiuliza matumizi ya mafuta ya ile Helkopta???Je hela hizi zisingeweza kuongeza madawa katika zahanati zilizoko vijijini???Hivi...
Mi nilidhani utaeleza kwa nini CHADEMA unasema kina njia nyeupe kwenda Ikulu kumbe na wewe ni mbulula shabiki unashabihikia hata huangalii evidence...kama njia nyeupe kingemwagika vibaya Kalenga???----- kweli wewe
CHADEMA inawachukia waislamu na haiwataki,kwani hilo ni siri jamani???ye kaona hakuna demokrasia na udini umekithiri,mzee Mtei kafanya chama chake akaona aachie ngazi.Tatizo liko wapi???
Zitto anachukiwa sana na baadhi ya watu kisa ni Muislamu aliyeko ndani ya CHADEMA hii inanipa mashaka sana na uhalisia wa chama hiki cha chadema...sijajua ni cha kidini au ni cha wapenda mageuzi na wapenda maendeleo...any way tutaona mwisho wake..
Mada nyingine hizi ni za kuchochea descrimination na sidhani kama zina mashiko yoyote...kama kakutana nao ni vizuri na wewe waunganishe wamanyema wenzako then muiteni Nape atakuja...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.