Ndugu Fahami..
Nakupongeza sana namna ulivyojikita kwenye hoja na hakika hii style yako ndio itakua muongozo wetu sote nchi nzima kuweza kuisaidia jamii zetu waelewe kuirahisi na kiufasaha dira ya Mh.JPM..
Nahakika uchumi wa kati tutafika tujitume sisi kama vijana wa UVCCM nchi mzima
Wewe kunamuda unakua wakili maandazi..
Unawezaje kusema wanachama wote wa CCM ..!? wewe ni msemaji wa wanachama..?!
Utulizane ukiwa unaleta hoja..ipotoshaji huuwache huko mahakamani
Ulimbo,
Haya mawazo yako ni ya kike sababu yana sukumwa na hisia zaidi..
Mzee huko ndie atakae changanyikiwa vinaja washamvua msulii..
Wewe unasema kughushi..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.