Haya ni majungu. Kuna Mkuu wa Wilaya ambaye ni Mwenyekiti wa KUU pamoja na Waheshimiwa madiwani, huko kote umepeleka hizi Taarifa zifanyiwe Kazi? Acha majungu
Nadhani litakuwa jambo jema wabunge wakalipwa salary scale kama watumishi wengine wa umma na walipe kodi kwenye mishahara yao. Hapo ndipo tutakapojua watumishi wa kweli wa wananchi na si maslahi yao binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.